Sifa ambazo hazina maana ktk maisha..

Sifa ambazo hazina maana ktk maisha..

Emma.

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2012
Posts
19,932
Reaction score
5,563
Kuna mkaka nimemkuta anasema jana hakuna kitu alichofaidi kama **** za bure kwa sababu sikukuu wanawake wanalewa sana na kujisahau kwa nn sikukuu tunafanya ndo siku za maovu?
 
Huyo ni insane. La alibemendwa, au alipigwa kifafa cha utotoni, au alipata homa ya degedege, au aliugua Polio kama si surua. Si bure.
 
Kuna mkaka nimemkuta anasema jana hakuna kitu alichofaidi kama **** za bure kwa sababu sikukuu wanawake wanalewa sana na kujisahau kwa nn sikukuu tunafanya ndo siku za maovu?

Nilishawahi kusoma mahali kuwa mwanamke akishalewa anakuwa maharage ya mbeya, so sioni ajabu jamaa kusema nanilii zinakuwa za bure
 
Mi sioni point ya kufunga mwezi mzima afu mkifungulia dhambi na anasa zile zile huu unafiki huu

Nilikuwa siamini kama hawa wafungaji siku wanafungua hufanya mambo ya ajabu sana,jana ndio nimejionea binti kalewa mpaka anarudisha chenji hovyo..
 
Nilikuwa siamini kama hawa wafungaji siku wanafungua hufanya mambo ya ajabu sana,jana ndio nimejionea binti kalewa mpaka anarudisha chenji hovyo..

Afu wakristo ndo wanaitwa makafir
 
You can easily judge
the character of a man
by how he treats those
who can do nothing for him.
 
Back
Top Bottom