nakuona unacheza dansi na kabila la watu.......
Ha ha ha ha huwajui vizur.......pole yako
Hapa naomba kwanza Mtambuzi aje atoe maoni huru, naona wengine wote apo juu imekuwa mwamba ngoma....
CC Bujibuji miss strong IGWE watu8
asili yao Morogoro huko maeneo ya ifakara
Mpwa naona Bujibuji kamaliza yote...hata cha kuongeza sina...
Kasahau jambo moja tu...kuwa ndio kabila linalolisha karibia nusu ya Tanzania...nani asiyekula maharage ya Mbeya na wali utokanao na mchele wa Kyela na Rujewa..?
kweli miss strong, kuna kabinti ka kinyaki nakavizia, hebu nipe tips huwa wanapenda vitu/watu wa namna gani? LOL
wanatokea mkoa gani hawa....?
Wafupi.
Wanawake wanamaumbo nabaya.
Weusi
Mi nilikuona ukishuka pale MSICHOKE KLAB maeneo ya Sindekaka hivi katika hao aliowataja wewe unadhani mie nimo kundi hilo? hukuniona wakati nakuja mwanjelwa bus stop
Mi nilikuona ukishuka pale MSICHOKE KLAB maeneo ya Sinde