Kigoma ,wilaya ya kasulu,tarafa ya Kabanga.mia
Wang pung nong,NE china
asili yao Morogoro huko maeneo ya ifakara
Ipenenga
Daaaah inanikumbusha mbali sana.....
Daaaah
1)WANAAMINI
KABILA LAO NDIO BORA KULIKO YOTE
Wanaamini kabila lao ni bora kuliko yote na ni lazima
kila Mtanzania ajue kabila hilo na kama kuna mtu ambaye halijui basi mtu
huyo ni jeuri/kiburi pia ana dharau.
2)WANAJIAMINI SANA
Ni watu wanaojiamini sana hususani sehemu za
kazi,wakipewa jukumu fulani kulifanya wanafanya kwa kijiamini sana na
huwa hawapendi kuingiliwa 'as long as umempa afanye kitu fulani
wanaamini kuwa umemchagua/umemteua yeye sababu unaamini kuwa anaweza
kufanya kitu hicho so asiingiliwe mpaka amalize.
3)WANAPENDA ATTENTION
Ni watu wanaopenda sana kuonekana kwa kile
wanachokifanya,yaani wanapenda kuonekana na kuthaminiwa kwa kile
wanachokifanya na sio zaidi ya hapo tofauti na makabila mengine.
4)NI WACHAPA KAZI
Ni watu wanaojituma sana katika kufanya kazi,mara
zote huwa hawapendi kuonekana kazi fulani imewashinda kufanya kwasababu
wao wanaamini kuwa kushindwa kuperform vizuri kitu ulichoaminiwa ni AIBU
na UDHAIFU mkubwa sana katika maisha.
5)WAKARIMU
Ni watu walioumbwa na karima ya hali ya juu,yaani
wanapokea mtu yoyote hata kama hawajui alikotokea ndio kitu
kilisababisha mpaka kukawa na matukio ya ajabu ajabu sababu ukarimu huo
watu wenye nia mbaya waliutumia katika kufanyia maovu yao.
6)WANASUBIRA
Ni watu ambao hawana papara,huwa hawapendi
kukurupuka kwa kitu chochote,wanapenda kungojea mpaka mpaka wapate hali
halisi ya kitu chenyewe ndio wafanye maamuzi.
SIFA ZA ZIADA
a)UTANASHATI
UTANASHATi na usafi ni sifa nyingine muhimu kwa kabila
hii. Waweza fika kijijini ukakuta bibi na kijumba chake lakn vyombo
vyake viko safi kabisa. Wawezakupataka chungu anachopikia usipate
masizi
b)HAKI NA SHERIA
Wanyakyusa kwa malezi yao WANAPENDA HAKI NA KUFUATA
SHERIA.
C)UMOJA
UMOJA ni sifa nyingine ya msingi: Si msibani tu Wanyakyusa
wakoPAMOJA sana kwa kila kitu. Hata mgonjwa akisafirishwa hadi kwa
mganga au hospitali kwa kushirikiana (palutato) wanashirikiana pamoja,
Uzalishaji mali ndiyo usiseme- Walilima/wanalima kwa pamoja
(INDUULA/INDIMYA), na ng'ombe walichunga/wanachunga pamoja
(ULUTIIMO),mambo ya furaha kama harusi ndo usiseme,yaani wanahakikisha
kwa umoja wao sherehe inafana.
Wapo wale wa Kyela..... sifa zaao ntazitaja kesho1)WANAAMINI KABILA LAO NDIO BORA KULIKO YOTE
Wanaamini kabila lao ni bora kuliko yote na ni lazima kila Mtanzania ajue kabila hilo na kama kuna mtu ambaye halijui basi mtu huyo ni jeuri/kiburi pia ana dharau.
2)WANAJIAMINI SANA
Ni watu wanaojiamini sana hususani sehemu za kazi,wakipewa jukumu fulani kulifanya wanafanya kwa kijiamini sana na huwa hawapendi kuingiliwa 'as long as umempa afanye kitu fulani wanaamini kuwa umemchagua/umemteua yeye sababu unaamini kuwa anaweza kufanya kitu hicho so asiingiliwe mpaka amalize.
3)WANAPENDA ATTENTION
Ni watu wanaopenda sana kuonekana kwa kile wanachokifanya,yaani wanapenda kuonekana na kuthaminiwa kwa kile wanachokifanya na sio zaidi ya hapo tofauti na makabila mengine.
4)NI WACHAPA KAZI
Ni watu wanaojituma sana katika kufanya kazi,mara zote huwa hawapendi kuonekana kazi fulani imewashinda kufanya kwasababu wao wanaamini kuwa kushindwa kuperform vizuri kitu ulichoaminiwa ni AIBU na UDHAIFU mkubwa sana katika maisha.
5)WAKARIMU
Ni watu walioumbwa na karima ya hali ya juu,yaani wanapokea mtu yoyote hata kama hawajui alikotokea ndio kitu kilisababisha mpaka kukawa na matukio ya ajabu ajabu sababu ukarimu huo watu wenye nia mbaya waliutumia katika kufanyia maovu yao.
6)WANASUBIRA
Ni watu ambao hawana papara,huwa hawapendi kukurupuka kwa kitu chochote,wanapenda kungojea mpaka mpaka wapate hali halisi ya kitu chenyewe ndio wafanye maamuzi.
SIFA ZA ZIADA
a)UTANASHATI
UTANASHATi na usafi ni sifa nyingine muhimu kwa kabila hii. Waweza fika kijijini ukakuta bibi na kijumba chake lakn vyombo vyake viko safi kabisa. Wawezakupataka chungu anachopikia usipate masizi
b)HAKI NA SHERIA
Wanyakyusa kwa malezi yao WANAPENDA HAKI NA KUFUATA SHERIA.
C)UMOJA
UMOJA ni sifa nyingine ya msingi: Si msibani tu Wanyakyusa wakoPAMOJA sana kwa kila kitu. Hata mgonjwa akisafirishwa hadi kwa mganga au hospitali kwa kushirikiana (palutato) wanashirikiana pamoja, Uzalishaji mali ndiyo usiseme- Walilima/wanalima kwa pamoja (INDUULA/INDIMYA), na ng'ombe walichunga/wanachunga pamoja (ULUTIIMO),mambo ya furaha kama harusi ndo usiseme,yaani wanahakikisha kwa umoja wao sherehe inafana.
BUBUji mi nimezaliwa Meta na kukulia huko,kiasi kikubwa umepatia ila sifa ya kugegedana umesahau. Unakumbuka hiya maneno ya kanga..'bora msafwa mchafu kuliko mnyakyusa malaya'?1)WANAAMINI KABILA LAO NDIO BORA KULIKO YOTE
Wanaamini kabila lao ni bora kuliko yote na ni lazima kila Mtanzania ajue kabila hilo na kama kuna mtu ambaye halijui basi mtu huyo ni jeuri/kiburi pia ana dharau.
2)WANAJIAMINI SANA
Ni watu wanaojiamini sana hususani sehemu za kazi,wakipewa jukumu fulani kulifanya wanafanya kwa kijiamini sana na huwa hawapendi kuingiliwa 'as long as umempa afanye kitu fulani wanaamini kuwa umemchagua/umemteua yeye sababu unaamini kuwa anaweza kufanya kitu hicho so asiingiliwe mpaka amalize.
3)WANAPENDA ATTENTION
Ni watu wanaopenda sana kuonekana kwa kile wanachokifanya,yaani wanapenda kuonekana na kuthaminiwa kwa kile wanachokifanya na sio zaidi ya hapo tofauti na makabila mengine.
4)NI WACHAPA KAZI
Ni watu wanaojituma sana katika kufanya kazi,mara zote huwa hawapendi kuonekana kazi fulani imewashinda kufanya kwasababu wao wanaamini kuwa kushindwa kuperform vizuri kitu ulichoaminiwa ni AIBU na UDHAIFU mkubwa sana katika maisha.
5)WAKARIMU
Ni watu walioumbwa na karima ya hali ya juu,yaani wanapokea mtu yoyote hata kama hawajui alikotokea ndio kitu kilisababisha mpaka kukawa na matukio ya ajabu ajabu sababu ukarimu huo watu wenye nia mbaya waliutumia katika kufanyia maovu yao.
6)WANASUBIRA
Ni watu ambao hawana papara,huwa hawapendi kukurupuka kwa kitu chochote,wanapenda kungojea mpaka mpaka wapate hali halisi ya kitu chenyewe ndio wafanye maamuzi.
SIFA ZA ZIADA
a)UTANASHATI
UTANASHATi na usafi ni sifa nyingine muhimu kwa kabila hii. Waweza fika kijijini ukakuta bibi na kijumba chake lakn vyombo vyake viko safi kabisa. Wawezakupataka chungu anachopikia usipate masizi
b)HAKI NA SHERIA
Wanyakyusa kwa malezi yao WANAPENDA HAKI NA KUFUATA SHERIA.
C)UMOJA
UMOJA ni sifa nyingine ya msingi: Si msibani tu Wanyakyusa wakoPAMOJA sana kwa kila kitu. Hata mgonjwa akisafirishwa hadi kwa mganga au hospitali kwa kushirikiana (palutato) wanashirikiana pamoja, Uzalishaji mali ndiyo usiseme- Walilima/wanalima kwa pamoja (INDUULA/INDIMYA), na ng'ombe walichunga/wanachunga pamoja (ULUTIIMO),mambo ya furaha kama harusi ndo usiseme,yaani wanahakikisha kwa umoja wao sherehe inafana.
Wafupi.
Wanawake wanamaumbo nabaya.
Weusi
Mnyakyusa mfupi?
Mhhhhh!Hakuna wafupi kwa wana "Ngonde" wala "abhamwamba"wala "abhamfyamba"!Kuna aina hizo juu za wanyakyusa na hamna wafupi!Dada zetu nyuma wamejaliwa ahahaha
Wapo wale wa Kyela..... sifa zaao ntazitaja kesho