Sifa kuu za kabila la Kinyakyusa


ndaga fijho..!
 
Wapo wale wa Kyela..... sifa zaao ntazitaja kesho
 
hahahaha najivunia kuwa mnyakyusa na naamini ni kabila kubwa kuliko yote ila sio bora w2 wote ni sawa jamani hahahahah
 
BUBUji mi nimezaliwa Meta na kukulia huko,kiasi kikubwa umepatia ila sifa ya kugegedana umesahau. Unakumbuka hiya maneno ya kanga..'bora msafwa mchafu kuliko mnyakyusa malaya'?

Hizi kanga zilitaka kupiganisha watu enz hizooo💬
 
Last edited by a moderator:
Babuji umeongea kitu, pia wana misiba mingi kuliko muda wa kufanya kazi na usipoenda msibani hata kama ni wa mtoto wa shangazi yake na mjomba wa binamu aliyemzaa bibi mzaa sijui nani ni faini. Kwenye misiba sasa ni fair play hakuna kunyimana maana wao wanasema wanakua wanafarijiana. Wana dharau sana watu wengine wasio wanyakyusa Hii ipo sana kwa wanyakyusa wa kyela ambapo wamefikia hatua watoto wa kike wa kyela hawawezi kuzaa na mgeni ww kama ni mgeni una demu wa kyela utaishia kula raha tu ila suala la mimba halipo. Ni wabishi sana na hawakubali kushindwa bila kusahau wanaume wa kinyakyusa wengi wao ni wavivu wanategemea wanawake kuwatunza hii imepelekea wanawake kuwa wachapakazi kuliko wanaume na ndio wenye control ya nyumba huku. Hapa nazungumzia wanyakyusa halisi sio hawa wanyakyusa wa darisalama
 
Umesahau moja kuu. Majina yao yanaanzia na A halafu sir name inakuwa MWA.
Mfano Asajile Mwaijumba

Nazjaz umesema sir name znaanzia na nini? unapajua kikota wewe?
 
Last edited by a moderator:
Bujibuji umesahau hili: wadada wa kinyakyusa wapole sana. ulichopewa na Mungu usiwanyime wenzio! "ukiona nipo kimya ujue nimekubali we niangusyage tu.
 
Last edited by a moderator:
Wafupi.
Wanawake wanamaumbo nabaya.
Weusi

Mnyakyusa mfupi?

Mhhhhh!Hakuna wafupi kwa wana "Ngonde" wala "abhamwamba"wala "abhamfyamba"!Kuna aina hizo juu za wanyakyusa na hamna wafupi!Dada zetu nyuma wamejaliwa ahahaha
 
Mnyakyusa mfupi?

Mhhhhh!Hakuna wafupi kwa wana "Ngonde" wala "abhamwamba"wala "abhamfyamba"!Kuna aina hizo juu za wanyakyusa na hamna wafupi!Dada zetu nyuma wamejaliwa ahahaha

Malafyale unadhani tupo Mwakaleli hapa? wamejaliwa na upole pia
 
Last edited by a moderator:
Wapo wale wa Kyela..... sifa zaao ntazitaja kesho

Mkuu sisi wa Kyela hatuna tofauti na sifa tajwa hapo juu labda niongeze sifa hizi 2 zaidi

1.Dada zetu wana makalio makubwa sana lkn kitandani "hupaki gari" kama tu video ya demu wa Ngassa

2.Sisi wanaume tuna mitarimbo mikubwa lkn up u u z i wenu wa tohara hatuuhitaji Kyela!

Wanyakyusa wa Kyela hatuna nongwa na mtu mweeee!
 
Malafyale unadhani tupo Mwakaleli hapa? wamejaliwa na upole pia

Madada zetu hawana nongwa na mtu lkn lzm wakujue unapotoka;Kwa mgeni atakusumbua siku angalau 2 ndiyo aje gheto kwako ahahaha
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…