Sifa kuu za kabila la Kinyakyusa

Na pia yawezekana wanaozungumziwa ni wangonde wa malawi wenye sifa hizo as nao wanatumia lugha hii itumiwayo TZ. Maana naona wenye aleji na wanyakyusa washaanza kumwagia vinyesi sredi.
jina la awali la wanyakyusa ni wangonde au wakonde, walitoka Malawi wakikimbia shida kama ukame wakatua mbeya, walikuta mbeya inakaliwa na wasafwa
 
Hiyo ya kupenda sifa inaonekana imegusa wengi, lakini ni tabia ya binadamu ya asili kupenda kukubalika. Labda kama wanyakyusa hawajaificha kama wengine wanaojifanya wanachukulia poa lakini moyoni wanataka sifa

Wanaosema Wanyakyusa wanapenda sifa hawajafika huko! Je vipi Wahaya kwa misifa? Labda naweza kusema wanyakyusa wanajifunza tu kwa hili ila wenyewe ni hao Wahaya!
 
yes mi mwenyewe demu wangu ni Mnyaki anajua kupenda mnoooo tena anawivu balaaa na ni mwepesi kukasirika na anuwezo wa kutopokra simu hata mwezi mzima ukimkwaza
 

Bongo star search kulikuwa na Mwakijambile umlisikia
 
yes mi mwenyewe demu wangu ni Mnyaki anajua kupenda mnoooo tena anawivu balaaa na ni mwepesi kukasirika na anuwezo wa kutopokra simu hata mwezi mzima ukimkwaza

Nilioa mnyaki, nilikomajee...
 
Update the source, ila mi navojua sio watu wa kujivunga kama anakutaka anakukubali tu we unamtongoza ili iweje.

hahahahahahaha aisee tatizo hawajajaliwa sura.... wanawake ni mabaunsa kinoma.... ninachowakubali wamebalikiwa weusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…