hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,890
- 2,795
Nini shida?
We umesoma neno "shida" kwenye hiyo sentensi yangu hapo juu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini shida?
jina la awali la wanyakyusa ni wangonde au wakonde, walitoka Malawi wakikimbia shida kama ukame wakatua mbeya, walikuta mbeya inakaliwa na wasafwaNa pia yawezekana wanaozungumziwa ni wangonde wa malawi wenye sifa hizo as nao wanatumia lugha hii itumiwayo TZ. Maana naona wenye aleji na wanyakyusa washaanza kumwagia vinyesi sredi.
Silipo sya naloli papo silipo sya bhutungulu bhakukaja mulipoooooo
Hiyo ya kupenda sifa inaonekana imegusa wengi, lakini ni tabia ya binadamu ya asili kupenda kukubalika. Labda kama wanyakyusa hawajaificha kama wengine wanaojifanya wanachukulia poa lakini moyoni wanataka sifa
Mimi ni musukuma.......
Teh teh............jeuri nyingi
sifambaya ya wasukuma ni uchafu, hawa jamaa ni wachafu sanaSifa zenu mbaya ni zipi na nzuri ni zipi?
Ndaga fijo
Na Lori umelisahau
sawa sawaLori tena la nini hapa? Siku hizi tunapanda mabasi bwana. Mi ndo nimekariri mwisho hapo mkuu
Wanyakuyusa wanajulukana sana kwa tabia ya ubaguzi na kupenda misifa..
Mbona hujaweka???
Ni watu wenye ukabila balaaa kama kuna campany ambalo gm ni mwafilombe basi wafanyakazi watakao ajiriwa ni akina mwalisu mwainjenga hata kama ni shirika la umma ukita kupata ajira hata kama wewe una wivu wa mapenzi, jiite "mwamasawe" hapo utapata ajira
yes mi mwenyewe demu wangu ni Mnyaki anajua kupenda mnoooo tena anawivu balaaa na ni mwepesi kukasirika na anuwezo wa kutopokra simu hata mwezi mzima ukimkwaza
Update the source, ila mi navojua sio watu wa kujivunga kama anakutaka anakukubali tu we unamtongoza ili iweje.
Kuchuna ngoz tena jamani
mmmh hayahahahahahahaha aisee tatizo hawajajaliwa sura.... wanawake ni mabaunsa kinoma.... ninachowakubali wamebalikiwa weusi
Siyo kweli ndg yangu hao watakuwa ni wale uliokutana nao.hata hivyo hiyo yaweza kuwa ni tabia ya mtu lakini si ya kabila lake.wanawake wa kinyakyusa ni maharage ya mbeya. mbona hii sifa haimo mkuu