Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
ukarimu wa namba 5 hapo juu kwa Bujibuji.Ukarimu wa vitu gani?
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukarimu wa namba 5 hapo juu kwa Bujibuji.Ukarimu wa vitu gani?
Wanyakuyusa wanajulukana sana kwa tabia ya ubaguzi na kupenda misifa..
Mbona hujaweka???
mbona ujamalizia kuwa wachuna ngozi pia..
Ipo hapo kwenye wa kyela "Kupenda kujulikana kama wamesoma nk"Wanyakuyusa wanajulukana sana kwa tabia ya ubaguzi na kupenda misifa..
Mbona hujaweka???
Wanyakyusa wa kyela wanaongoza kwa dharau na uhuni
Wanyakyusa wa kyela wanaongoza kwa dharau na uhuni
Wanyakuyusa wanajulukana sana kwa tabia ya ubaguzi na kupenda misifa..
Mbona hujaweka???
Hata chui akionewa, basi atetewe.mbona ujamalizia kuwa wachuna ngozi pia..
Hata chui akionewa, basi atetewe.
Kuchuna ngozi sio sifa ya Wanyakyusa.
Kwa ujumla wanyakyusa si makatili...ni Wakarimu sana.
Wanaochuna ngozi ni kabila kutoka Wilaya ya Mbozi, wanaitwa Wanyiha, a.k.a akina "Tumgoje...Tumleshe"