RWANTANG
JF-Expert Member
- Dec 28, 2021
- 1,143
- 1,425
Kama mimi hadi muda huu bado nina peruzi JFHawalali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mimi hadi muda huu bado nina peruzi JFHawalali
Kama mimi hadi muda huu bado ninaperuzi JFHawalali
Sio Dar tu mkuu, Dar - Kinondoni1.wote wana magari.
2.Wote wamefika university
3.wote wamekaa ulaya.
4.Wote wanaishi dar.
5.Wote ni piskali mademu
6. Wote ni hendome wanaume.
7. Wote wana hela.
Hao ndio wana jf ongezea yakwako.
Huwa hakuna haja ya kutangaza lolote..maana hata kama unavyo vyote hivyo, wengine haviwasaidii kitu na haikusaidii kitu ukijitangaza, zaidi ya kuboost fragile ego kwa dakika chache tu.Kwenye jzmii zetu hizi za kimaskini ni KOSA
1.Kusema una gari hata kama unalo
2.kusema Una degree hata kama unayo
3.Kusema Umekaa Ulaya hata kama umekaa huko
4.Kusema unakaa Dar hata kama unakaa Dar
5...
6...
7.Kusema Una hela hata kama unazo
Kwenye jamii hizi inabidi ulie njaa tu ndio mtaenda sawa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawalali
Hakuna mtu huwa anafungua uzi ili atangaze kuwa ana gari ila inatokea tu katika mijadala au kuchangia hoja mtu anajikuta anasema directly au indirectly kuwa ana gari, kwa hiyo mtu ashindwe kuchangia mada kisa ataonekana anajitangaza kuwa ana nyumba, gari, pesa n.k?Huwa hakuna haja ya kutangaza lolote..maana hata kama unavyo vyote hivyo, wengine haviwasaidii kitu na haikusaidii kitu ukijitangaza, zaidi ya kuboost fragile ego kwa dakika chache tu.
Infact nimekuja kugundua wengi humu ni watoto wadogo umri kuanzia 16 - 20Asilimia kubwa;
-wanaishi kwao /kwa ndugu/kwa shemeji zao
Kutangaza ndio tafsiri ya kundi hiloHuwa hakuna haja ya kutangaza lolote..maana hata kama unavyo vyote hivyo, wengine haviwasaidii kitu na haikusaidii kitu ukijitangaza, zaidi ya kuboost fragile ego kwa dakika chache tu.
Tuende wapi sasa..?😄 au tuuawe tu.It's time wazee tuachie ngazi tuwaache watoto
Tuwe watazamaji[emoji16]Tuende wapi sasa..?[emoji1] au tuuawe tu.
🤗🤗Gari ata kujifunza naogopa
Mwana JF hujui kuandika Hand some?!1.wote wana magari.
2.Wote wamefika university
3.wote wamekaa ulaya.
4.Wote wanaishi dar.
5.Wote ni piskali mademu
6. Wote ni hendome wanaume.
7. Wote wana hela.
Hao ndio wana jf ongezea yakwako.