Sifa mbaya za makabila yetu

Waarusha,
Ni wabinafsi, wadokozi, wachafu
wapenda kesi za mashamba
Hukojoa wakiwa wamesimama (wamama) hawavai kufuli
 
Hili la Wasukuma kuhutubia Kisukuma ni kweli
Nimesikia mahali Mchungaji Gwajima amehojiwa kwa kuhamasusha ukabila. Sheria yetu ya uchaguzi inakataza kabisa watu kuhutubia kwa kilugha katika mikutano ya kampeni za uchaguzi, hicho nilichoeleza hapo ni kitu ambacho nimekishuhudia kikifanyika, maofisa wa NEC wakiwepo, OCD na polisi wake wakiwepo, and nothing was done about this na kuna watu wanadhani baadhi ya watu kuhutubia kwa lugha za Kisukuma wameanza leo. Hili ni bandiko la mwezi May, 2009, miaka 11 iliyopita!. Sasa leo Gwajima anapoyasisitiza haya kosa lake ni lipi?.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…