Sifa mbaya za makabila yetu

Hawa hawana tabu kabisa ni wakarimu na ni wacha Mungu hakika! Labda kizazi hk cha leo wakazibadilishe.

mh! Barabara ya vumbi ni noma! Huku Kaskazini ukioa mrangi lazima uhame mtaa maana utadharaulika sijui kwanini hawajirekebishi jamani. Hakuna mwanamke anayejitambulisha kama mrangi ni aibu!
 
Duuuh! Afadhali hamjagusa NGONI Nation! sisi ni watakatifu ile mbaya!
 
7.Makabila yakaayo Unguja na Pemba tuambieni habari zao

wapemba wanapenda sana ugomvi, kutembea na mausgeli na huwa wanazaa sana, hawajaiona nyota ya kijani.
Pia ni hodari wa kufuga majini na uchawi.
 
13.Warangi-Malaya,Roho mbaya,Hawapendani,Wapenda Dhuluma. 14.Wagogo-Wavivu,Wachafu,Ombaomba,Wezi,Jeuri,

naongezea hapo kwa wagogo ni wachoyo sana hawa jamaa ukishirikiana na ubinafsi
 
inasaidia kuleta utani kati ya makabila na kuondoa misuguano kati yao na kuongeza utaifa wetu
 

No 7 nmecheka hadi nmeharibu kazi zangu!
Nkija tena Tz ntakwenda huko RCity.
 
Makabila ya pwani huko Tanga nayo yakoje?
 
Kuna wakerewe.
Hawa watu kwa uchawi ni soo,wanafuga sana mamba kama silaha za maangamizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…