Sifa mbaya za makabila yetu

Sifa mbaya za makabila yetu

Sifa mbaya au tabia mbaya hazina uhusiano na kabila.
Kila jamii utakuta watu wana tabia nzuri na mbaya, hakuna kabila tukufu kwenye hii sayari
 
Naomba utuelezee na mazuri yake! Nijuavyo mm hakuna kabila lililokosa tabia mbaya labda kabila lako! Kama umalaya kila kabila malaya kama huamini nenda sehem za starehe ndipo utajua.
 
sasa mbona yote kwenye kabila letu yapo,tunao wezi ,wachawi,waakatili ,wauwaji, ubahili,labda kidogo umalaya hatuna tuna wazinzi namaanisha hatufanyi biashara bali kuburudishana kwa kwenda mbele!ndio maana hata popo bawa wanapapenda huku!
 
Nimeorodhesha tabia mbalimbali za makabila yetu ili kuangalia ni wapi tumekosea na tujirekebishe ili kuondoa sura yetu mbaya machoni kwa jamii.
Hapa kila mtu akiikana nafsi yake na kuikataa tabia (inayoakisi sifa ya kabila lake) tutapata jamii safi isiyo na taswira mbaya na makabila yetu yote yataheshimika.
Nia ya bandiko hili si kutusi wala kukejeli kabila lolote ndio maana hata wewe unaruhusiwa kuweka kile unachokiona kwenye makabila mengine.

1. Wachagga-wezi
2. Wafipa-wachawi
3. Wazaramo- majungu + wavivu
4. Wanyakyusa- ukabila, umalaya na kujisifu + fitina
5. Wahehe- kujinyonga + wapole
6. Wakurya- ukatili + wachokozi
7. Wajaluo- roho mbaya
9. Wahaya- umaalaya, kujisifu na kujisikia.
10. Wanyiha- wauaji
11. Wakinga- wachawi
12. Wasukuma - wachawi +kujisifu + ukabila
13. Waha: Majungu + wachawi
 
Wapogoro hakika huwatoi kwa umbea na upashkuna na ulozi!!
 
ni kabila lipi linaweza ni bora zaidi ya hili?alafu mbona kujinyonga popote watu wanajinyonga lazima iwe wahehe?
 
nimeorodhesha tabia mbalimbali za makabila yetu ili kuangalia ni wapi tumekosea na tujirekebishe ili kuondoa sura yetu mbaya machoni kwa jamii.
Hapa kila mtu akiikana nafsi yake na kuikataa tabia (inayoakisi sifa ya kabila lake) tutapata jamii safi isiyo na taswira mbaya na makabila yetu yote yataheshimika.
Nia ya bandiko hili si kutusi wala kukejeli kabila lolote ndio maana hata wewe unaruhusiwa kuweka kile unachokiona kwenye makabila mengine.

1. Wachagga-wezi
2. Wafipa-wachawi
3. Wazaramo- majungu
4. Wanyakyusa- ukabila, umalaya na kujisifu
5. Wahehe- kujinyonga
6. Wakurya- ukatili
7. Wajaluo- roho mbaya
9. Wahaya- umaalaya, kujisifu na kujisikia.
10. Wanyiha- wauaji
11. Wakinga- wachawi
12. Wasukuma - wachawi
mwaka huu wehu wameongezeka
 
Jamani kuna hili kabila la WAHA from Kigoma, ni wabishi haooo.... balaa!


Waha si wabishi tu kwani nao ni wachawi sijapata ona. Kina Diamond, Lunyamila, Nteze John, Zitto, Kabourou, ndo kabila lao hili. Muha hafanyi kitu bila kupulizia unga. Ni noma kishenzi na ndiyo maana hawapatani na wafipa hata kidogo kwani wote wanaogopana kwa mazingaombwe.
 
Nimeorodhesha tabia mbalimbali za makabila yetu ili kuangalia ni wapi tumekosea na tujirekebishe ili kuondoa sura yetu mbaya machoni kwa jamii.
Hapa kila mtu akiikana nafsi yake na kuikataa tabia (inayoakisi sifa ya kabila lake) tutapata jamii safi isiyo na taswira mbaya na makabila yetu yote yataheshimika.
Nia ya bandiko hili si kutusi wala kukejeli kabila lolote ndio maana hata wewe unaruhusiwa kuweka kile unachokiona kwenye makabila mengine.

1. Wachagga-wezi
2. Wafipa-wachawi
3. Wazaramo- majungu
4. Wanyakyusa- ukabila, umalaya na kujisifu
5. Wahehe- kujinyonga
6. Wakurya- ukatili
7. Wajaluo- roho mbaya
9. Wahaya- umaalaya, kujisifu na kujisikia.
10. Wanyiha- wauaji
11. Wakinga- wachawi
12. Wasukuma - wachawi
Mkuu, mbona umesahau hawa? Wahha, Wanyamwezi, Wakimbu, Wanyiramba, Warangi, Wagogo, Wasandawe, Wabembe, Wamaasai, Washambaa, Wangoni, Wakwere, Waarusha, Wabena, Wandali, Wamakua, Wazinza, Wasafwa, Wahangaza, Wataturu, Wanyaturu, Wanyantuzu, Wapare, Wasumbwa, Wadigo, Wabondei, Wambugu n.k..
 
Wagogo - Omba-omba
Wamasai - Kolokoloni
Wajita - Majivuno, wambea
Waha - Wabishi
 
Mkuu, mbona umesahau hawa? Wahha, Wanyamwezi, Wakimbu, Wanyiramba, Warangi, Wagogo, Wasandawe, Wabembe, Wamaasai, Washambaa, Wangoni, Wakwere, Waarusha, Wabena, Wandali, Wamakua, Wazinza, Wasafwa, Wahangaza, Wataturu, Wanyaturu, Wanyantuzu, Wapare, Wasumbwa, Wadigo, Wabondei, Wambugu n.k..

tusaidie sifa zetu hayo makabila
 
Back
Top Bottom