Sifa na tabia za wameru

Status
Not open for further replies.
Nina mmeru hapa always tunagombana mpaka ndoto zangu za kumuoa zinapungua? Je ni huyu tu wakwangu au ndo tabia ya wanawake wakimeru full ugomvi, from nathing to beef, naomba maelezo kwa wameru mliopo msukuma me nataabika!

hahaha,,, ndo walivyo,
 
A Lot Of Trouble In The World
Will Disappear,
If Everyone Learns To Talk To
Each Other
Instead Of
...Talking About Each Other ... !!
 
Wameru Ni wakorofi na watu Wa hila, fact period, sifa Yao kubwa eti Wote wameokoka, tangi Lini watu Wote wakaokoka? Umeliwa.


Nina mmeru hapa always tunagombana mpaka ndoto zangu za kumuoa zinapungua? Je ni huyu tu wakwangu au ndo tabia ya wanawake wakimeru full ugomvi, from nathing to beef, naomba maelezo kwa wameru mliopo msukuma me nataabika!
 
na ukimletea za kuleta atakuchoma kisu cha makalio nakwambia
 
Nimeishi Arumeru kwa takribani miaka 4, kimsingi Wameru huwa hawapendi kuzingulia kama ilivyo kwa Wamasai, ila nyuma ya pazia wapo poa ingawa wana hasira

So ni nature yao, nmekupata
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…