kengeledoi
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 325
- 230
Hivi wakuu ndo tuseme tukitaka kuja dar inabidi tutume kwanza maombi au tunakuja tu[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu inabidi mtupe utaratibu au ndo ukaguzi utaanzia kibahaKama we mwanamke,usitie hofu nitakupokea,huna ulazima wa kutuma maombi!...watokea wapi?..
Ni kweli mkuu maana huko dar kila kitu ni dealUKIPENDA VYA BURE HUKU DAR UNAOLEWA HATA KAMA MWANAUME
[emoji3] [emoji3] nitafute kwa ushauri na maelekezo zaidi[emoji85]Hivi wakuu ndo tuseme tukitaka kuja dar inabidi tutume kwanza maombi au tunakuja tu[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji3] [emoji3] nitafute kwa ushauri na maelekezo zaidi[emoji85][/QUOT
hahaaaaaaa..... katika watu ambao ninatamani kuwaona ni wewe mkuu, will find a way to meet with you mshana
hizo me silagi nimezoea dona kwa mlendaKama wewe ni shabiki wa kupiga chips na sausages hiyo inatosha kabisa kuwa tiketi...
umeona mkuu sa hivi anatakiwa afanye kazi aache kutafuta kiki za msimu yaani hakuna idea anayokuja nayo yenye manufaa kwa watu wa dsm naona wamachinga walimsemea kwa boss wake, tunahitaji kuona mabadiliko dar kama usafi na miundo mbinu mizuri mambo ya kiki za msimu waachie wasanii.Yani jamaa utasema anashindana na kina gigy money, idris, na wema sepetu kwa kutafuta Kiki
Yani hii ya leo kali
Sijui wiki ijayo atakuja na mpya gani
usijali mkuu nikiwa nakuja nitaku PM[emoji3] [emoji106] my pleasure karibu sana sipo mbali na stendi
Bon voyageusijali mkuu nikiwa nakuja nitaku PM