kaburu mdogo
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 567
- 400
ni mara nyingi sana nimesikia watu wakizungumza kuhusu kujiunga kwao kwa jwtz,lakini wengi wao huwa hawazungumzii vigezo vyoa zaidi ya afya,je kwa mtu aliemaliza chuo ni sifa zipi za ziada ambazo anatakiwa kuwa nazo kama umri wa kujiunga na mengineyo,nitashukuru kwa kujua hivyo vigezo