Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

Sio wote n wahuni...n baadh yao...huyu angekuwa mhuni nisingemkuta bikra kwa miaka 25 alionayo na degree zake mbili
Unazingua mkuu demu miaka 25 Tena anatokea huko soya awe bikra sio kweli wewe upiwekewa bikra fake
 
@Bata batani nimekuelewa vizuri sana.
 
Wakurya mnawaonea, sio wakorofi hasa kwa wageni ni mpaka uanze kumchokoza, ni wakarimu sana kwa wageni
 
😂😂ha ha ha mmesahau waluguru wandengereko na wazaramo hawa watu ni pipa na mfuniko characteristics zao ni moja Tu. Wao mafiga matatu ni kawaida kuchimba Nungu Kwao Hakuna choyo. Na ushirikina kwao ni ibada ya kila jumapili au ijumaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…