Hahahahahaha duuh kumbe wajuba mmeshika mpk aina ya visigino.... π π π π ππ€£π€£π€£Acha zake ww .......sema ndo hvo kula mishangazi yenye minofu na mizur mizur kua sehemu yenye green pastures na mara nyingi yy ndo atakupa signals....sasa we jikute unatafuta ww plus huna hela utakula wale visigino vina rangi flan afu wakilewa wanacheza wamekaaa
Hv maua umeandika niniKweli mweh babe ila wewe shoo yako sio ya kiboya atleast unavumaga
nimelia sana mkuupole sana imekuwaje?
ππHii kauli hiiπ€£ππ
π₯°π₯°π₯°π₯° mjiandae kuitwa mashangazi ila sharti muwe na mawowowo ya haja π₯°π₯° Ni sharti la kiukoo π₯°π₯°π₯°cocastic umesikia wizo anatuletea aunt, tujiandae kuitwa mashangazi π
Haya ni maendeleo ya kijamii tuko vizuriMaendeleo tutayasikia kwa mabeberu tu kama akili zenyewe ndo hizi
nimelia sana mkuu nimelia mpaka sauti imekaukaππpoleeeeeeeee mremboooo
pole sana kwaiyo yanekukuta lini mkuu inaonesha una changamoto ya muda mrefu mkuunjo masaki hapa nikupooze mrembo
Mimi ninani hata nikubishie.
Shangazi gan anataka umlipie Kodi, umvishe, Kula juu yako ?Kupendeza juu yako?.
Huyo sio Shangazi bhanaa, huyo ni chuma ulete tu aliyekua kiumri.
πππππ€ ulitaka niandikeje??Hv maua umeandika nini
Yaan we kinachokuja kichwani we ni kuandika tuπππππ€ ulitaka niandikeje??
Sasa ulitaka niseme imezeeka siunasifia kitu yako au sicho changu niangalie kwingineYaan we kinachokuja kichwani we ni kuandika tu
Shauri yako bomba itakuhusu simo ukilia liasili mitaro kabsa π€£π€£ staki dhambi
jina lako linafanana na mwandani wangu yaan nkionaga thread yako namuona my wangu kabsaππππππ€ ulitaka niandikeje??
Eee kaangalie kwngn mi sio muoaji kbsSasa ulitaka niseme imezeeka siunasifia kitu yako au sicho changu niangalie kwingine
kweli bhna apo nimezngua tu ila sipo kwenye mambo ya kuLa mitaro aisee jauShauri yako bomba itakuhusu simo ukilia lia
Okay unatakaje?? Ili ufurahi zaidijina lako linafanana na mwandani wangu yaan nkionaga thread yako namuona my wangu kabsaπ