Sifa za Mashangazi Original

Sifa za Mashangazi Original

miezi saba now ๐Ÿค—๐Ÿค—๐Ÿค— soon naitwa mama jamanii awwwwh ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ

Sema wizo nae kwa kupotea! Kwanza uliendaga wapiii nikakumiss adi bas ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ

Kila nikikumiss nahis kababy boy kangu kanacheza tumbonii, katakuwa kakorofi kama baba akee ๐Ÿฅฐ
Hii amani unayoiharibu humu
 
Anazo nyingi utachemka ww kuzitumia, ana maduka matatu kkoo na store mbili.
Tena hizo store kachukua floor nzima ghorofani kujaza mzigo wake. Kontena zinapishana kuingia godauni.!!!
Tuliza wenge ujilie pesa ile miufundi ya kimeru hapo ndo pa kuiachia sasa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nimescreen shot nimewaonesha Watu wote marafiki zangu & vyombo vya ulinzi na usalama......lolote litakalonipata utahusika
 
Anazo nyingi utachemka ww kuzitumia, ana maduka matatu kkoo na store mbili.
Tena hizo store kachukua floor nzima ghorofani kujaza mzigo wake. Kontena zinapishana kuingia godauni.!!!
Tuliza wenge ujilie pesa ile miufundi ya kimeru hapo ndo pa kuiachia sasa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Na yupo single hushangau sio mmuha kweli??
 
Ndo vijana wa sasa hizo
ndo haso zao walizobakiza..una kuta kiboda boda au ki first year... kidinyoo kinakuchekea chekea kwa sbb kinajua una house na kigari cha kukupeleka misele yako ya hapa na hapa basi kinakuzoea zoea bila adabu aisee huwa navifurumusha na mazoea na hivyo vitoto ni kukaribisha nuksi...magari yenyewe ya familia... ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‡ au mshangazi lazima uwe umefiwa na mume? Eti wananzengo...
 
Vimebakia vi kingele navyo vimelegea kama sikio za mbuzi...
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃAcha zake ww .......sema ndo hvo kula mishangazi yenye minofu na mizur mizur kua sehemu yenye green pastures na mara nyingi yy ndo atakupa signals....sasa we jikute unatafuta ww plus huna hela utakula wale visigino vina rangi flan afu wakilewa wanacheza wamekaaa
 
Back
Top Bottom