Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mshatumiana had email?! Mxieeww mnajuana kumbe nyie 🤣🤣🤣Unalijua draft? Ila besti yako huyo siamini amini
Mwambie ajibu email yangu
Inakuelezea kiunaga ubaga shenzy 🤣🤣🤣Unajiuliza hii kitu mbn confidential sana kumbe multiple IDs kazini
Kuna unao wangp? Ina maana hauna uhakika 🤔ngoja nitafute no za kiredio😂😂😂😂 A city au sio?!!
Nnae mmoja Bhana, Kiredio hantishi 🤣🤣🤣Kuna unao wangp? Ina maana hauna uhakika 🤔ngoja nitafute no za kiredio
Jiraaani
Happy nyu hiya jirani 😍😍😍Jiraaani
We unazani huyo wa geneva kampataje?Sema Lamomy haendagi kwa mwamposa ni shemeji yetu bn hapo Geneva of Africa
Ahsante kwako pia jirani, sio kwa kupotea huko 😐Happy nyu hiya jirani 😍😍😍
Maendeleo tutayasikia kwa mabeberu tu kama akili zenyewe ndo hizi1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na wezere,
4. Awe single Mother,
🤣🤣🤣 kumbe Mpaji Mungu maua ndo goma lako ss hivi.?!Kumbe ndio zako utaona leo utalala nje
😂😂😂Oyaa isije ikawa we ndo Lamomy unanipeleka maji marefuWe unazani huyo wa geneva kampataje?
Ongea na mimi vizuri bro 😎
Over mayi dedi bodi mm nakusubr ww🤣🤣🤣 kumbe Mpaji Mungu maua ndo goma lako ss hivi.?!
Maua umejipata shosti
🤣🤣🤣🤣 dah!We unazani huyo wa geneva kampataje?
Ongea na mimi vizuri bro 😎
Mtaishia kuhesabu maghorofa ya watu mjini.1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na wezere,
4. Awe single Mother,
Anazani mimi ni mtu wa spoti spoti🤣🤣🤣🤣 dah!
Anahela shosti eh maana sijaamua kiundani kufanya yangu🤣🤣🤣 kumbe Mpaji Mungu maua ndo goma lako ss hivi.?!
Maua umejipata shosti
miezi saba now 🤗🤗🤗 soon naitwa mama jamanii awwwwh 🥰🥰🥰Wizo wangu mimi mwenye msambwanda wake 🤣🤣🤣
Hivi wizo mimba yetu ina miezi mingapi now?