Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 7,918
- 20,037
Wakuu habari zenu,moja kwa moja niingie kwenye mada.
Hivi nini sifa za mchezaji kuchaguliwa kuwa mchezaji bora?
Maana kumekuwa na malalamiko kwa mashabiki wampira wa miguu kutokulidhizwa na mchezaji bora anayechaguliwa kwenye ligi mbalimbali iwe bongo Au ulaya kila mtu anakuwa anamtazamo wake.
Kila mtu hakubaliani hata na walio kwenye kinyang’anyilo hicho na kusema hakustahili.
Sasa najiuliza hivi zipi ni sifa za mchezaji kushinda mchezaji bora?
Ni vizuri kukawa na vigezo kabisa
Juzi kati hapa luka modric ameshida mchezaji bora wa dunia wa fifa,kila mtu anasema lake kwenye hizo tuzo na kuwepo na mijadala isiyokuwa natija
Oohh,hakustahili,oohh Messi mbona hakuwepo na halistahili wengine sarah hakustahili kuwepo kwenye tatu bora,wengine varane wapo timu moja na modric halafu varane kachukua pia world cup,
Na mengine mengi kila mtu akidai mchezaji wake anayemuona yeye ndio bora kwa vigezo vyake
Sasa nini vigezo vya mchezaji bora?kuchukua vikombe kwenye ligi ulizoshiliki? Au kufunga magoli mengi kwenye msimu wa ligi? Kama ndio kufunga magoli mengi hivyo tuzo za mchezaji bora iwe wa dunia au wa ligi not for defenders .
Wiki iliyopita messi alishinda tuzo ya player of the week ya uefa alifunga goli 2.
Aliokuwa nao kwenye kinyang’anyilo hicho ni neymar,dyabala,na dzeko wote hao waliondoka na mpira na maanisha walipiga hat trick,
Lakini messi akaibuka mshindi,watu wanasema messi kafunga timu kubwa (spurs)wengine hao wamefunga timu ndogo na wakati huo hiyo ligi ni ya mabigwa ulaya.
Mfano niwakumbushe tu msimu ulioisha uefa champions ligi goli la bicycle kick la ronaldo halikushinda goli bora la wiki ila likaja kushinda goli bora la msimu kwanini?
Kwenye mchezaji au goli la wiki wanaachiwa mashabiki wapige kura anayependwa ndio atakaye pigiwa kura nyingi na kushinda.
Kwa upande wako nini sifa za mchezaji bora?
Ni vizuri kukawa kabisa na vigezo vya sifa za mchezaji bora kitakwimu ilikuondoa malalamiko ya wapenda soka japo kwa kiasi fulani.
Nawasilisha.
Hivi nini sifa za mchezaji kuchaguliwa kuwa mchezaji bora?
Maana kumekuwa na malalamiko kwa mashabiki wampira wa miguu kutokulidhizwa na mchezaji bora anayechaguliwa kwenye ligi mbalimbali iwe bongo Au ulaya kila mtu anakuwa anamtazamo wake.
Kila mtu hakubaliani hata na walio kwenye kinyang’anyilo hicho na kusema hakustahili.
Sasa najiuliza hivi zipi ni sifa za mchezaji kushinda mchezaji bora?
Ni vizuri kukawa na vigezo kabisa
Juzi kati hapa luka modric ameshida mchezaji bora wa dunia wa fifa,kila mtu anasema lake kwenye hizo tuzo na kuwepo na mijadala isiyokuwa natija
Oohh,hakustahili,oohh Messi mbona hakuwepo na halistahili wengine sarah hakustahili kuwepo kwenye tatu bora,wengine varane wapo timu moja na modric halafu varane kachukua pia world cup,
Na mengine mengi kila mtu akidai mchezaji wake anayemuona yeye ndio bora kwa vigezo vyake
Sasa nini vigezo vya mchezaji bora?kuchukua vikombe kwenye ligi ulizoshiliki? Au kufunga magoli mengi kwenye msimu wa ligi? Kama ndio kufunga magoli mengi hivyo tuzo za mchezaji bora iwe wa dunia au wa ligi not for defenders .
Wiki iliyopita messi alishinda tuzo ya player of the week ya uefa alifunga goli 2.
Aliokuwa nao kwenye kinyang’anyilo hicho ni neymar,dyabala,na dzeko wote hao waliondoka na mpira na maanisha walipiga hat trick,
Lakini messi akaibuka mshindi,watu wanasema messi kafunga timu kubwa (spurs)wengine hao wamefunga timu ndogo na wakati huo hiyo ligi ni ya mabigwa ulaya.
Mfano niwakumbushe tu msimu ulioisha uefa champions ligi goli la bicycle kick la ronaldo halikushinda goli bora la wiki ila likaja kushinda goli bora la msimu kwanini?
Kwenye mchezaji au goli la wiki wanaachiwa mashabiki wapige kura anayependwa ndio atakaye pigiwa kura nyingi na kushinda.
Kwa upande wako nini sifa za mchezaji bora?
Ni vizuri kukawa kabisa na vigezo vya sifa za mchezaji bora kitakwimu ilikuondoa malalamiko ya wapenda soka japo kwa kiasi fulani.
Nawasilisha.