Defense mechanism anajua kabisa yeye yupo NBC league alafu kuna watoto wakali chuchu sharp level za EPL tatzo n maokoto sasa anajua ukimpata wa EPL na maokoto unamwachia moshi tatu.Ukiwa nalo, utasikia sipendi dharau.... Hivi huwa yanamanisha nini
Hongera mimi wa 2000 wananishinda "Yan kauli ya binti wa 2000 kuniambia usrudie kosa lako naona kama ni dharau"Baada ya miaka kadhaa ya kupata miraha km yote kutoka kwa lishangazi langu.....nikaona nijaribu kwa kitoto cha 2000..walah niseme hapa sihami wala kwa mishangazi sirudi.....
Mtoto huyu analia km kinanda
Ni mwepesi km karatasi..
Hana mipaka wla hachoki kunipa
Ni msafi wa viwango vyote..
2000 maua yao.
Wanapitia Mengi SanaDada zetu mnapitia mengi.
Huyo akifika hapa tutarajie uzi kubadilika mandhari.Nina mengi ya kusema kuhusu hao watu ila kwa sasa namwachia BICHWA KOMWE -
ππππππ
π€£π₯΄Dada zetu mnapitia mengi.
Endelea tu na huo mdomo wako....Umeacha kusoma biblia...unaongea blah blah tuSema kweli kama hapa kuna mtu kaonewa.
Awe single mazaBaada ya Mishangazi kushika kasi sio vibaya tukajua sifa kuu za mshangazi.
1. Awe single.
2. Awe kaachika au mjane.
3. Awe mweupee.
4. Awe na pesa.
5. Awe mnene.
Baada ya hayo, niwatakie kila la heri mishangazi yote.
Msukuma huwa hajifichi popote alipo3. bado una ushamba wa rangi
Mkuu na umri huo bado unawazaga kuhusu ukimwi seriouslyEndelea na kuteleza tu kwenye ganda.
Aliwahi kukuambia mkapime??
Media gn hy mkuu na kipindi kipi? Usikute mm maarufu halafu sina hizo taarifa πWewe tunakutafuta tukupige mpaka ujute....
Naona wanakutaja sana media flan hv sasa mi nishakujua ....
ππππ
Wanasema Director mbaga...Media gn hy mkuu na kipindi kipi? Usikute mm maarufu halafu sina hizo taarifa π
Tuache utani bhana, lishangazi linapendeza likiwa leupeHiyo na. 3 kwamba awe mweupe sio lazima. Anaweza kuwa maji ya kunde au mweusi ang'avu bado ni fresh zaidi.
Zingatia sio lazima awe mnene ila awe na mwili wenye nyamanyama flani hivi zinazoshikika
Ndo wewe nini..ππππHumu tuu, ngoja nije pm nikutumie video moja wapo π₯π₯π₯π₯
uwe mkali mkali kukufokea ni jambo la mara moja na ukiandapafomu unakula vitasaBaada ya Mishangazi kushika kasi sio vibaya tukajua sifa kuu za mshangazi.
1. Awe single.
2. Awe kaachika au mjane.
3. Awe mweupee.
4. Awe na pesa.
5. Awe mnene.
Baada ya hayo, niwatakie kila la heri mishangazi yote.
wamesema awe Singo, kwahiyo huyo sio lishangazi bali ni mke wa mtu ukikutwa usije sema hatukukuambiaJaman nimepata shangazi wa kisukuma..
Aiseee wanapenda jamni daaah
Aiseee an sms kumi kumi..
Ni mke wa mtu ila sasa aaaaaaah anapenda ujinga an anapenda kutiana
Kumbe ndiyo wewe .Yes ndo mm
Director Ezekiel mbaga nlkuwa kwenye kipindi cha viwanjani azam sports 1 ile, naona mtandao uko slow inachukua muda mrefu kutuma video labla badae nikienda kwenye wifi
Weee pia ujajua kuwa mishangzi ina level zake... Kuna pro alafu kuna hawa undergroundwamesema awe Singo, kwahiyo huyo sio lishangazi bali ni mke wa mtu ukikutwa usije sema hatukukuambia