Sifa za mwanaume amtakae Lady Jay Dee kwa sasa

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304

Mwanaume mwenye vigezo gani ungependa kuwa nae kwa sasa?

JIBU :Anaejali na kuheshimu, mwenye roho ya upendo na huruma, anaeweza ku take care of me financially.Asiechepuka hovyo (Milupo kila kona ),Asiwe tegemezi.Hata kama sio tajiri lakini asinitegemee.Asiwe mlevi kupindukia wa kulala bar,Wala kulala nje kwa machangu wa Kinondoni au popote pale.Nikikohoa tu awepo hapo..

Kwa mtazamo wako anaweza kupata Mwanaume asiye na mapungufu?

 
A state of obsession without sharing. ...!!!
 
Mi naweza siamesema hatakama si tajiri ila tu asimtegemee hilo wwngi tunaweza kwani kwa asili si wanaume tumeumbwa kutegemeza zaidi kuliko kutegemea, tatazo ni yeye anaweza kuwa kama mwanamke? kwa vile yuko kama kidume tu
 
...anayeweza ku take care of me financially.....asiwe tegemezi....hata kama sio tajiri asinitegemee......nikikohoa tu awepo....

Sijawahi kuona kitu ya namna hii, kwa hio dada yangu anahitaji mtu wa kum-service basi!
 
kwa hii statement maana yake anataka mume ambaye anachepuka lakini kwa kiasi

Achepuke kwa umakini sana. . . . . . sio hovyo bro
Tooic; Ni kama anaanza kuuona ukweli wa maisha sasa anaanza kuona mwanaume na show offs mbalimbali kabisa ila kwa sifa alizotanguliza ni kama anataka mwanaume anayejitambua. . . . . Ila sasa mwanaume anayejitambua wa kusubiri mwanamke akohoe ili awepo hapo sasa anarudi kwa Mariooo
 
...anayeweza ku take care of me financially.....asiwe tegemezi....hata kama sio tajiri asinitegemee......nikikohoa tu awepo....

Sijawahi kuona kitu ya namna hii, kwa hio dada yangu anahitaji mtu wa kum-service basi!

Mbona unakata tamaa bro. . . .
 

labda amzae mwenyewe
 
Mara nyingi wanadamu hutamani vitu vingi vizuri na vya kupendeza maisha lakini kibaya zaidi wengi wao hawajiweki katika mazingira ambayo yatawawezesha kutimiza matakwa ya nafsi zao...na hivyo kuishi maisha ya ndoto ingali macho yao yanatazama....ni kama mfano wa changudoa mwenye ndoto za kupata mume mwema na mcha mungu hali ya kuwa mazingira yanawatenga mbali kwani mcha MUNGU muda mwingi anapatikana sehemu za ibada akidumisha ukaribu na mola wake huku yeye muda mwingi akiwa barabarani akiunadi mwili wake hivyo kupelekea changudoa kuishi maisha ya ndoto huku mazingira yakimuweka mbali kutimuza ndoto hiyo mpaka pale atakapo badilika...ni kama mfano wa mwanaume anayeumiza kichwa jinsi ya kumpata mke mtulivu huku yeye akiwa ni kinara wa kuwafunua wadada kila uchao na kila gest anaifahamu na mpaka wamemzoea....ninachojaribu kueleza na kwamba kabla hatujatamani kupata vitu vyenye kuleta raha nafsini mwetu na kutimiza matakwa ya nafsi zetu kwanza sisi wenyewe tunatakiwa tuviandalie mazingira ya kuvivuta hivyo vitu kwenye maisha yetu....kama unatafuta mume mwema jiweke katika mazingira ya kumvutia mume mwema huku wewe ukiwa na sifa ya mke mwema...kama unatafuta mke mwema andaa mazingira ya kumvuta mke mwema huku wewe ukiwa na sifa, haiba na muonekano wa mume mwema.....siku zote watu tunao interact nao maishani mwetu ni wale ambao tumewaandalia mazingira ya kuingia katika maisha yetu kwa namna moja au nyingine...watu huwa hawatuzoei tu hivi hivi bali kuna vitu au mazingira ambavyo huwa vinawavuta kwetu ...kama wewe ni kibaka huwezi kupata marafiki wema kwani mazingira yako ya kimaisha yanakuwa yameshakutenga na watu wema...kama wewe ni mama huruma wanaume utakaokutana nao ni sampuli hio hio...kwa kuwa mazingira yako yakinzana na wanaume wastaarabu....
 
Dada yangu Mtu wa hivyo labda Syria!


 
Mkuu grafani11 Signature Yako Ndo Jibu La Huyu Dada,nyakati Za Mwisho Wa Dunia Wanawake Wataanza Kutongoza Wanaume Sasa Nyakati Ndo Hizi Hapa Unajipromote Watu Waingie Ubia
 
Last edited by a moderator:
Mungu atampa haja ya moyo wake. Mungu si kiziwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…