Sifa za spika ni kama hazipo wazi zote,afu umri ni tatizo

Kimetah

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
1,049
Reaction score
189
Sifa za mtu
anayefaa

kuchaguliwa

kuwa

Spika au

Naibu

Spika.

132. Mtu atastahili kuchaguliwa kuwa Spika au Naibu Spika

endapo atakuwa na sifa zifuatazo-

(a) angalau awe na elimu ya Chuo Kikuu kinachotambulika kwa

mujibu wa sheria za nchi;

(b) awe na sifa za kumuwezesha kuchaguliwa kuwa Mbunge;

(c) wakati wa kugombea, awe mwenye umri usiopungua miaka

arobaini; na

‐ 54 ‐

(d) asiwe kiongozi au amewahi kuwa kiongozi wa juu wa chama

cha siasa katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya

kuomba kuchaguliwa kushika nafasi ya madaraka ya Spika

au Naibu Spika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…