Kimetah
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 1,049
- 189
Sifa za mtu
anayefaa
kuchaguliwa
kuwa
Spika au
Naibu
Spika.
132. Mtu atastahili kuchaguliwa kuwa Spika au Naibu Spika
endapo atakuwa na sifa zifuatazo-
(a) angalau awe na elimu ya Chuo Kikuu kinachotambulika kwa
mujibu wa sheria za nchi;
(b) awe na sifa za kumuwezesha kuchaguliwa kuwa Mbunge;
(c) wakati wa kugombea, awe mwenye umri usiopungua miaka
arobaini; na
‐ 54 ‐
(d) asiwe kiongozi au amewahi kuwa kiongozi wa juu wa chama
cha siasa katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya
kuomba kuchaguliwa kushika nafasi ya madaraka ya Spika
au Naibu Spika.
anayefaa
kuchaguliwa
kuwa
Spika au
Naibu
Spika.
132. Mtu atastahili kuchaguliwa kuwa Spika au Naibu Spika
endapo atakuwa na sifa zifuatazo-
(a) angalau awe na elimu ya Chuo Kikuu kinachotambulika kwa
mujibu wa sheria za nchi;
(b) awe na sifa za kumuwezesha kuchaguliwa kuwa Mbunge;
(c) wakati wa kugombea, awe mwenye umri usiopungua miaka
arobaini; na
‐ 54 ‐
(d) asiwe kiongozi au amewahi kuwa kiongozi wa juu wa chama
cha siasa katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya
kuomba kuchaguliwa kushika nafasi ya madaraka ya Spika
au Naibu Spika.