Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] UnforgettableMwanamume wa leo anashinda jamii forum kuwaza aandike nini
Utukome kabisa tuombe radhiMinaona hizo zote ni sifa za wanaume wa daslam...😕
Kwanza mwambie aombe uzi ufutwe, yule alieleta uzi kwamba kaua mnyama mkali ndani, akaitupia na picha.... kumbe mjusi..😜Utukome kabisa tuombe radhi
nakazia,Minaona hizo zote ni sifa za wanaume wa daslam...😕
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna mwingine huko daslam alikuja kuomba ushauri etu afanyeje dem wake kamuomba akamsaidie kubadilisha balbu ya chumbani...🤣
Ahahhah tutakutwanga makofi huwezi kututukana ivyoKwanza mwambie aombe uzi ufutwe, yule alieleta uzi kwamba kaua mnyama mkali ndani, akaitupia na picha.... kumbe mjusi..😜
Kwani mimi ndio niliwashauri mue mnakula chipsmayai yenye tomato nyingi mkuu...☺Ahahhah tutakutwanga makofi huwezi kututukana ivyo
Mkuu, sema wanaume wa daslam....😊Wanaume wa leo wanapitia mitihani sana kwa wanawake zao.
Ila huko mikoani ndio kuna matukio mengi sana yanayosababishwa na mapenzi.Mkuu, sema wanaume wa daslam....😊
Kwani kula chips yai dhambi wewe umekatazwa kulaKwani mimi ndio niliwashauri mue mnakula chipsmayai yenye tomato nyingi mkuu...☺
Hayo matukio ya mikoani yanafanana na alio orodhesha mleta mada....??!!Ila huko mikoani ndio kuna matukio mengi sana yanayosababishwa na mapenzi.