Sifa za wanaume wa leo

Unforgettable

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
5,584
Reaction score
12,461
Maisha yanatupeleka kasi sana na wanaume wa dizaini za Baba zetu wanazidi kupungua kwa kasi ya ajabu nilichokiona.

-Mwanaume wa leo hawezi badili taa iliyoungua mpaka amwite fundi.
-Mwanaume wa leo anaogopa panya.
-Mwanaume wa leo anakagua masufuria jikoni/kulamba mwiko.
-Mwanaume wa leo anajipodoa/kuvaa nguo zinazoonyesha maungo yake.
-Mwanaume wa leo anakula asivyogharamia.

Ongezea vya kwako ulivyoviona kabla hatujaanza vya wanawake wa leo ambao si kama mama zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…