Niaminu mkuu, huo mkoa wanaume wanadeka sana.....😝hawezi kuwa serious
Sawa tuletee na mkeoHapana mkuu, endeleeni kunyoosha miguu huko sinza na mwenge ili msuguliwe, muoshwe na wanaume wanao toka mikoani...😊
Ndio natafuta mchumba hapa Jf...😊Sawa tuletee na mkeo
Anaomba maukoko anaparua anakula..tena analia kwa sufuria!Maisha yanatupeleka kasi sana na wanaume wa dizaini za Baba zetu wanazidi kupungua kwa kasi ya ajabu nilichokiona.
-Mwanaume wa leo hawezi badili taa iliyoungua mpaka amwite fundi.
-Mwanaume wa leo anaogopa panya.
-Mwanaume wa leo anakagua masufuria jikoni/kulamba mwiko.
-Mwanaume wa leo anajipodoa/kuvaa nguo zinazoonyesha maungo yake.
-Mwanaume wa leo anakula asivyogharamia.
Ongezea vya kwako ulivyoviona kabla hatujaanza vya wanawake wa leo ambao si kama mama zetu.
Khee!hata wewe🤔kwa ile shoti niliyopigwa hadi nikatambaa acha tu niwe miongoni mwa wanaume wa leo. Bulb badilini nyinyi
subscribed
Atanikiwa naye siwezi kukupa wa mkoan wachafuNdio natafuta mchumba hapa Jf...😊
Ila sifa kuu awe anatokea daslam, kwani hauna dada boss wangu...😋
kakugusa ehh team rojoHahahaha hahaaaaaaaaaaaa......
ni kweli kanisani/msikitini kwao imekua mtihaniWanaume wa kileoleo hawaamini uwepo wa Mungu. Kwa hili tu hamna kila kitu
dahAnaomba maukoko anaparua anakula..tena analia kwa sufuria!
Hii nayo imeenda😅nakazia,
wengine wanakulana wao kwa wao😬
skuizi umeacha kukazia😂Hii nayo imeenda😅
Kukazia kuko pale paleskuizi umeacha kukazia😂
Sorry mkuu unaishi Dar sehemu gani?Maisha yanatupeleka kasi sana na wanaume wa dizaini za Baba zetu wanazidi kupungua kwa kasi ya ajabu nilichokiona.
-Mwanaume wa leo hawezi badili taa iliyoungua mpaka amwite fundi.
-Mwanaume wa leo anaogopa panya.
-Mwanaume wa leo anakagua masufuria jikoni/kulamba mwiko.
-Mwanaume wa leo anajipodoa/kuvaa nguo zinazoonyesha maungo yake.
-Mwanaume wa leo anakula asivyogharamia.
Ongezea vya kwako ulivyoviona kabla hatujaanza vya wanawake wa leo ambao si kama mama zetu.
kwani we mkuu unaishi mkoa gani??Sorry mkuu unaishi Dar sehemu gani?
Vipi bei ya mchele huko?
Anyway najua umewalenga wanaume wa kwenu(Dar)
Subiri waje
Kwa huko Dar nasikia ni kawaidakwani we mkuu unaishi mkoa gani??
bei ya mchele inahusika vipi na uwepo wa mwanaume ndani ya nyumba??
hawa niwazungumziao hapa ni wale wasiojihusisha na kazi yoyote ya ndani ya nyumba mf. nyasi zinaota nje ya mlango fyekeo lipo lkn lijamaa linakatiza tu mlangoni kila siku mpaka siku agongwe na nyoka
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
tupe location tuhamie huko huku hali teteKwa huko Dar nasikia ni kawaida
Ila huku kwetu sisi mwanaume wa design hiyo sijawahi kumsikia
Njoo kanda ya Kati Dodomatupe location tuhamie huko huku hali tete
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app