Sifa za wanaume wa leo

Sifa za wanaume wa leo

Maisha yanatupeleka kasi sana na wanaume wa dizaini za Baba zetu wanazidi kupungua kwa kasi ya ajabu nilichokiona.

-Mwanaume wa leo hawezi badili taa iliyoungua mpaka amwite fundi.
-Mwanaume wa leo anaogopa panya.
-Mwanaume wa leo anakagua masufuria jikoni/kulamba mwiko.
-Mwanaume wa leo anajipodoa/kuvaa nguo zinazoonyesha maungo yake.
-Mwanaume wa leo anakula asivyogharamia.

Ongezea vya kwako ulivyoviona kabla hatujaanza vya wanawake wa leo ambao si kama mama zetu.
Anaomba maukoko anaparua anakula..tena analia kwa sufuria!
 
Maisha yanatupeleka kasi sana na wanaume wa dizaini za Baba zetu wanazidi kupungua kwa kasi ya ajabu nilichokiona.

-Mwanaume wa leo hawezi badili taa iliyoungua mpaka amwite fundi.
-Mwanaume wa leo anaogopa panya.
-Mwanaume wa leo anakagua masufuria jikoni/kulamba mwiko.
-Mwanaume wa leo anajipodoa/kuvaa nguo zinazoonyesha maungo yake.
-Mwanaume wa leo anakula asivyogharamia.

Ongezea vya kwako ulivyoviona kabla hatujaanza vya wanawake wa leo ambao si kama mama zetu.
Sorry mkuu unaishi Dar sehemu gani?
Vipi bei ya mchele huko?
Anyway najua umewalenga wanaume wa kwenu(Dar)
Subiri waje
 
Sorry mkuu unaishi Dar sehemu gani?
Vipi bei ya mchele huko?
Anyway najua umewalenga wanaume wa kwenu(Dar)
Subiri waje
kwani we mkuu unaishi mkoa gani??
bei ya mchele inahusika vipi na uwepo wa mwanaume ndani ya nyumba??
hawa niwazungumziao hapa ni wale wasiojihusisha na kazi yoyote ya ndani ya nyumba mf. nyasi zinaota nje ya mlango fyekeo lipo lkn lijamaa linakatiza tu mlangoni kila siku mpaka siku agongwe na nyoka

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
kwani we mkuu unaishi mkoa gani??
bei ya mchele inahusika vipi na uwepo wa mwanaume ndani ya nyumba??
hawa niwazungumziao hapa ni wale wasiojihusisha na kazi yoyote ya ndani ya nyumba mf. nyasi zinaota nje ya mlango fyekeo lipo lkn lijamaa linakatiza tu mlangoni kila siku mpaka siku agongwe na nyoka

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
Kwa huko Dar nasikia ni kawaida
Ila huku kwetu sisi mwanaume wa design hiyo sijawahi kumsikia
 
Back
Top Bottom