Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh! Huku mikoani wanaume wa leo Ke akizingua ni risasi, makofi, kukata mikono/vidole, kung'oa meno kwa bisibisi na mambo kama hayo.Ila huko mikoani ndio kuna matukio mengi sana yanayosababishwa na mapenzi.
niliwahi kumsikia fundi redio kuwa kuna baadhi ya watu walikuwa wakimpelekea redio ambazo betri hazikupangiliwa sawasawa (enzi zilee za redio za mkulima). Yeye akiona vile humwambia mwenye redio amuachie halafu apite baadae, huziweka sawa zile betri na mwenyewe akifika anapigwa chaji ya ufundi, maisha yanaendelea.Ila hao wapo wengi wanaoshindwa kubadilisha 💡 iliyo ungua wanaita fundi na hajui bei ya 💡 nakula pesa zao nyingi sana
[emoji1787][emoji1787]Mwanaume wa leo ana dressing Table full of vipodozi...
mimi na umeme hatupatani ila mambo mengine freshKhee!hata wewe🤔
😆😂🤣Mwanaume analamba mwiko????