Kumbe ni nyinyi kwa nyinyi shenzi kabisa. Mimi uzoefu wangu ni dada wa kibosho anazo tabia nzuri sana sijui kwa nini wakaka wasiige huyu dada anafanyakazi ubalozi wa Marekani. ukweli ni kati ya wadada wenye tabia nzuri sana niliowahi kuwaona, nilifikiri na wakaka hivyo hivyoCHI NG'AAMBA SIRI TA MBA FYO SIR. ENYI WO KIRIMA ILA LUKAA NJINI MUDA FUNG'ANYI HATA NGECHI KIWOSO NCHA VOO. MILA NGETIMANYA SIR NGIKAI NA MAMA MUDA FUNG'ANYI SANA KIOSO LAKINI TABIA ZA WOMI!!!!
Ni kama hivi kuwa ni:
1. Kuoa na kuacha tena bila matunzo ya kueleweka kwa watoto nina mifano kama kumi na zaidi
2. Wanapenda mali, mkiachana atavizia wakati mke hayupo anapakia kila kitu ndani
3. Ni wachoyo sana hela yake inatoka kwa manati
4. Ukimrusha ni lazima akumalize
5. Mkitalikiana maintainance kwa mtoto ni 30,000 kwa mwezi hata kama anafanya kazi ya mshahara million kumi kwa mwezi.
6. Kwa wakwe ni wachoyo, mgeni akifika anapewa kiporo hata kama chakula fresh kimepika muda huu
7. Wanapenda sana kutembea na mahousegirl, hii piga ua ndo sifa yao kuu, nina mifano kadhaa.
8. Ni walevi wa pombe sana na malaya
9. Ukinunua naye kitu hakikisha mnaandika majina yenu wote au uwe unaandika jina lako maana mkiachana atakimbia na documents zote na atabadilisha majina faster ni wajuzi wa kugushi
10. Low perfomer kitandani
Ongezeeni.Nimeongea kwa experience yangu nao as mkibosho!!
Uliwahi kugombana nao? Maana sifa hizi ingawa wanaweza kuwa nazo lakini zimekikaa kishari sana. Hata hivyo tumepata cha maana hapo.
Zile zile za siku zote.
Umeolewa na kuachwa na wakibosho wengi kiasi una experience kubwa namna hii, duh! Na wewe, si uishi peke yako sasa au uolewe na Mkurya tu yaishe?
Dede kuchu!EWE NGILOLYE KOFUNDE HWE? KIKI KUCHAMBA SIRI TA MBA WAI? KWANZA EWE KIOSO OKWI?KULAODE NTA AIBU KYOMANA WANA WENI WAWA WASUKO KO MANA MUFATILYA MILA KUCHU.EDOTA LAANA TA SHISASI CHE SABABU YAMBA KWAMBA KUKEI SALAMA HWE?
dede kuchu!
Hapana mkuu. Kule uchagani kwetu kuna ukoo umeacha laana kabisa kuwa mtoto wa ukoo huyo asiolewe au kuoa kibosho kuepukana na hiyo damu. Unaposikia mjini wakisema mwogope mkibosho si uongo, kuna ukweli ndani mwake. Unajua wale ni wachinja nyama sana hivyo kukupiga panga au kiandu ni kazi ndogo sana. Hapa ninaongea with confidence full of experience with these dudes!!
umepata mme mkibosho nn?yale yale ya kuanza kujitambulisha kwa makabila.!!Wanajf nmerudi tena nlkua nauliza sifa za wanaume wa kichaga wa kibosho ni zipi?
Mkuu hawa hawanibabaishi kabisa maana ninawajua mno hata kwa majina ambayo ni wasomi na wametelekeza wake zao i.e ndoa hazidumu nitakutajia ni kwa vile tu hapa sitaki kufanya character assessination maana wengine walikuwa ni waheshimiwa but ndoa kaputi! Halafu nimesahau moja, ni warushi sana, akifika kwako kukuomba mkopo hutampata. Mimi nimetapeliwa na mmoja wao ambaye tena nimemsimamia ndoa (jina kapuni) but ninajiandaa kumtoa media muda si mrefu na picha yake kabisa. In short wana kadamu kwa wizi!!! Waje na wanishambulie mimi ni mwenzao na siogopi!!
Mmmhhhh bishanga hapa sitii neno.Ni kama hivi kuwa ni:
1. Kuoa na kuacha tena bila matunzo ya kueleweka kwa watoto nina mifano kama kumi na zaidi
2. Wanapenda mali, mkiachana atavizia wakati mke hayupo anapakia kila kitu ndani
3. Ni wachoyo sana hela yake inatoka kwa manati
4. Ukimrusha ni lazima akumalize
5. Mkitalikiana maintainance kwa mtoto ni 30,000 kwa mwezi hata kama anafanya kazi ya mshahara million kumi kwa mwezi.
6. Kwa wakwe ni wachoyo, mgeni akifika anapewa kiporo hata kama chakula fresh kimepika muda huu
7. Wanapenda sana kutembea na mahousegirl, hii piga ua ndo sifa yao kuu, nina mifano kadhaa.
8. Ni walevi wa pombe sana na malaya
9. Ukinunua naye kitu hakikisha mnaandika majina yenu wote au uwe unaandika jina lako maana mkiachana atakimbia na documents zote na atabadilisha majina faster ni wajuzi wa kugushi
10. Low perfomer kitandani
Ongezeeni.Nimeongea kwa experience yangu nao as mkibosho!!
EWE NGILOLYE KOFUNDE HWE? KIKI KUCHAMBA SIRI TA MBA WAI? KWANZA EWE KIOSO OKWI?KULAODE NTA AIBU KYOMANA WANA WENI WAWA WASUKO KO MANA MUFATILYA MILA KUCHU.EDOTA LAANA TA SHISASI CHE SABABU YAMBA KWAMBA KUKEI SALAMA HWE?
CHI NG'AAMBA SIRI TA MBA FYO SIR. ENYI WO KIRIMA ILA LUKAA NJINI MUDA FUNG'ANYI HATA NGECHI KIWOSO NCHA VOO. MILA NGETIMANYA SIR NGIKAI NA MAMA MUDA FUNG'ANYI SANA KIOSO LAKINI TABIA ZA WOMI!!!!
Hapana mkuu. Kule uchagani kwetu kuna ukoo umeacha laana kabisa kuwa mtoto wa ukoo huyo asiolewe au kuoa kibosho kuepukana na hiyo damu. Unaposikia mjini wakisema mwogope mkibosho si uongo, kuna ukweli ndani mwake. Unajua wale ni wachinja nyama sana hivyo kukupiga panga au kiandu ni kazi ndogo sana. Hapa ninaongea with confidence full of experience with these dudes!!
Hivi eee.....na wamachame je?! maana mie huwa naambiwa nisiwasogelee,sasa nimempata mchumba nifanyeje wajameni?