Sifa za wanaume wachaga wa Kibosho

Sifa za wanaume wachaga wa Kibosho

Amney

Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
54
Reaction score
4
hello,jf naomba mniambie sifa za wanaume wachaga wa kibosho
 
wanamme wa kibosho ni wanamme.

Kwani wewe ni mwanamke wa wapi?
 
Sifa za hao watu ni kama ifuatavyo:

1. Wagomvi sana.
2. Walevi. Wakilewa wana makelele sana.
3. Wachafu sana.
4. Wana mikono birika- wabahili sana.
5.Nilimsikiaga mama mmoja akimwambia mwenzake:"Wanaume wa kibosho ni magoigoi kitandani."

Mfanyie intavyuu ulie nae uone.
 
me nafikiri kila mtu anatabîa zake, make kuna wakaka flan wakibosho mkubwa kwel ni mchafu,yupo rafu kwel hajijali pia ni mbahili. ila mdogo wake ni smart ukienda kwake utadhan ana mke,ni mtoaji na anaemjal gf wake!
 
Wanaume wa kichaga wakioa mwanamke mwenye hela huja kum-kill badae ili warithi mali.
Mifano ninayo kama mi-4 hv.
Hiyo sifa mojawapo ya kwao,japo cjajua ni wa-Kibosho au vp!
 
Mlianza na wachagga mmechoka, sasa mmeamua kudili na vitongoji vyao. Na bado mtachonga sana juu yao!
 
Mlianza na wachagga mmechoka, sasa mmeamua kudili na vitongoji vyao. Na bado mtachonga sana juu yao!

wakitoka kwenye vitongoji wanaingia kwenye ukoo...na bado. Shkang babu,nilikumisije
 
Wanakunywa sana pombe kali [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom