Sifa za wanaume Weusi "Niggers"

Sifa za wanaume Weusi "Niggers"

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Taja sifa za wanaume mweusi.


--Mbavu nene,
--Mashababu hawachagui kazi
--marijari "Hakuna shoga Mweusi"
--Wanajiamini sana
--sio mchele mchele.
--Ukisusa tu yeye anakula
--Achagui location kila pande yeye anapita tu,
--Sio madomo zege
--Confidence 100,ukilianzisha analimalizia,
--Akizaa mtoto ni kama ana copy kwake na kupaste kwa mwanae,
--Wana vidole vinene alafu vigumu kinyamaaa,
--Sura ya shikamoo ata kama bado Chalii,
--wanapenda kunyoa Afro na kuvaa suruari nyeusi tii,
--Wanakuwaga na ndevu kama Osama, makata mavi ya kutosha na garden love kama zote,
--Wababe wababe sanaaa
---
__


Ongezea sifa zingine


Cc Zero IQ
 
Kama huyo mkuu
IMG-20190604-WA0013.jpeg
 
Nipende kuwakumbusha James delicious alikuwa mweusi akajichubua

Vicente kigosi nae hvyo hvyo

Hio mifano miwili inaonyesha nyie ni wa aina gani


Halafu pia mna inferiority complex

No offense...
 
Back
Top Bottom