Cauldron
JF-Expert Member
- Apr 27, 2016
- 362
- 586
Sanchoka nae ni manka sijui unasemaje kwa hilo?6.Hawana zile ne' ema za Allah au ile mizigo iliojazika jazika in Sheikh Kipoozeo Voice!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanchoka nae ni manka sijui unasemaje kwa hilo?6.Hawana zile ne' ema za Allah au ile mizigo iliojazika jazika in Sheikh Kipoozeo Voice!
Huyo mwanaume kaingia mkenge! Atarudi hapa analia!Kuna hidhi thifa nyingine dha wachagaView attachment 1366230
Don't make a promise you can't fulfill...
Unauliza makofi polisi?
Ile ni neema ya alla wa kichinaSanchoka nae ni manka sijui unasemaje kwa hilo?
Glory anaolewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna hidhi thifa nyingine dha wachagaView attachment 1366230
Don't make a promise you can't fulfill...
Ewaa, nambie Jirani yangu, za siku?Killboy huyu yupo hapa Nyamongo,Tarime
Hivi dhahabu ni white...eti mkuu...???Wachaga njooni, kuna ujumbe wenu huku[emoji3][emoji3]
7. Wana sura nzurii.
8. Rangi ya dhahabu(white)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmhhh haya...watakuja wanazengo
Nzuri kabisa jirani,hujaonekana hapa Tarime umeshasafiri na kutafuta kungwi wa kichaga? Kama upo basi kesho njoo kijiweni
ahaaaa,poa tu mtu wangu,
[emoji3][emoji3][emoji3] umenikomeshaje hadi nimetafuta kamusi na sijapata maana yake duh, mimi ni mkurya nisiyejua lugha lkn[emoji3]ahaaaa,poa tu mtu wangu,
Ulivyosema ww ni wa kanda maalum nikakutest tu kiaini
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kufahamu sifa mahususi za wachaga wa machameSIFA ZA WANAWAKE WA KICHAGA
1. Wakarimu
2. Waaminifu
3 . Wavumilivu
4. Wachapakazi
5. Hawapendi ela wanapenda maendeleo[emoji18]
Nani anabisha ? [emoji16]ajifanye kama anajikuna[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Aiseeeeee
Acha kuishi kwa kukariri
Sio wote tho..6,wana miguu kama penseli
9 ina walikini6,hawan chura
7,magogo
8.hawako romantic
9.ukitajirika sana unatangulizwa mbinguni.
I like this9.ukifanikiwa kumuoa au kuishi nao.. uhakika wa kuwa tajiri au kupata mafanikio ni % 99 kamili
Sent using Jamii Forums mobile app
UmekaririHiyo ni ukweli mkuu haswa wamachame
Fanya mpango tupeleke mahari huko, tukuwe matajiri[emoji3]I like this