Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaJiongeze mkuu, huoni kama ile rangi inaelekeana na ya binadamu na binadamu mwenye rangi ile anaitwaje kama siyo mweupe (white). Imeisha hiyooo
Sent using Jamii Forums mobile app
9.ukifanikiwa kumuoa au kuishi nao.. uhakika wa kuwa tajiri au kupata mafanikio ni % 99 kamili
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ukweli wowote hapo. Hizo ni myths tu zinazosambazwa na wasio wachagga. Mnaosema tu wala hamna proof yoyote ile.
Kabila lako lipi ?Shape nzuri si ni wahaya hao sasa,
Sisi zililetwa sifa za kabila letu pendwa, ndyo wakawa wanatudis sanaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Toto la Mbeya
Namuoa ili watu wapate cha kunizungumzia(content)Unaoa ili utajirike?? Hapo sasa namuoa mke au business partner??[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maneno yaliopo kabla ya neno "YOU ARE WELCOME" hapo usawa wa chini ya hio kadi ya mualiko yanahusiana vipi na tukio husika? Au ndo mambo yale yale ambayo Mkulungwa Mstaafu alilalamikia na kuyatafsiria kama "Kujimwambafai" ???Kuna hidhi thifa nyingine dha wachagaView attachment 1366230
Don't make a promise you can't fulfill...
Ah yule atakuwa na mchanganyiko wa kisukuma ndani yake. Hawezi kuwa Manka fully fledged!Sanchoka nae ni manka sijui unasemaje kwa hilo?
Hebu nipe code ya kabila lako nikasakanye huo uziShape nzuri si ni wahaya hao sasa,
Sisi zililetwa sifa za kabila letu pendwa, ndyo wakawa wanatudis sanaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa, ntakupm mkuu+
Hebu nipe code ya kabila lako nikasakanye huo uzi
Fanya hivyo bas mtt mtam, maana nadata sana na watoto wa Rock City 😍
unateseka?Unaoa ili utajirike?? Hapo sasa namuoa mke au business partner??[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Sent using Jamii Forums mobile app
7, Hawana chura6,wana miguu kama penseli