Sanamu la ukarimu.Eeh sanamu lao la senene
π€£π€£π€£ Yani hakunaSanamu la ukarimu.
Bila ahaka hakuna ubakaji Kagera na Bukoba
Huoni jamii ina amani kwa ajili yao?π€£π€£π€£ Yani hakuna
π€£π€£π€£π€£Kama la michelinHuoni jamii ina amani kwa ajili yao?
Sanamu liqe refu sana
Liongezewe wesere kuongeza msisitizoπ€£π€£π€£π€£Kama la michelin
Hivi kumbe na ww una maneno kama hayaπ€£ππππLiongezewe wesere kuongeza msisitizo
Kwamba nimekosea?Hivi kumbe na ww una maneno kama hayaπ€£ππππ
Ndugu wananchi ....
Bwana kwenye pirika pirika zangu za kuachika nimejikuta nimenasa kwa mtoto bint wa kiganda.
Huyu binti ni binti kweli kifua kimesimama,miguu nyama figure nyembamba kifupi ni wa kawaida ila anamvuto kwenye mapenzi.
Hajui kiswahili sema wabongo washa advance wanapeleka umbea kwa lugha yeyote siku hizi ivo alichoimba konde boy kweli tuwafiche tuu (namfichaa) maana walishampa habari zangu na mabalqa ya kuzusha zamani wakati mi nilimficha.
Msichana huyu alinisumbua kidogo kumpata, isingekua kusoma tution cuba nisingempata...
Kilicho nivutia.
1. Anamsimamo wa dini, siku moja walimtumua church kisa alivaa nguo fupi (japo kunawengne wanavaa fup zaid) lakini yeye alilichukulia swala lile very positive na kunishangaza kwakusema "those who loves, will tell you the thrue no matter it heart how much" alibadili na kufurahia ibada.
2. Alinisumbua saana kwenye kumzangamua japo diploma ya cuba iliinisaidia akaliwa... kwa shart la kupima ngoma na homa ya ini.
3. Sio goldiger
4. Hard worker
5. Anaheshima na hofu
Binafsi namuona ka ndiye mke wangu ndoa yangu ya pili sa kabla sijaamua kuoa niongezeeni sifa kuu za wanawake wa kiganda na je ni watunzi wa ndoa na familia?
Karibuni....
Leo ndio nimwjua wewe mswahili sana lete ya dating appsπKumbe wanaume na nyie mnaachika[emoji13] alafu uyo kokushubiri aliyechangamka
HapanaKwamba nimekosea?
Leo ndio nimwjua wewe mswahili sana lete ya dating apps[emoji23]
Ndo mana nikaleta humu naamini kuna wenye xperienceKama ni wa kwqnza umewahi sana ku conclude
Labda wa huko kijijini kwenu ila huku mjini demu ni mkopo wa benkiMademu wa kiganda wana njaa bora wabongo
We jamaa endelea kujificha na id yako wallah wahaya wangrkujua wasingekuachaYani hawajui kusema hapana.
Ukikataliwa na muhaya itabid kuoga maji ya upako
Nitaelewaje wakati ulichoandika sicho ulichokusudia kuandika ama kusema?Kwani hujaelewa au vip??
Wengine hamjawahi vuka boda ata kwa boda kudadeki mnakula kina mwajuma ndala ndefu tuuSasa anaonewa wivu kwa kukagusa kaganda kamoja tu?πππ
Ndo point uliyoiona tuu hapo..??Kumbe wanaume na nyie mnaachika[emoji13] alafu uyo kokushubiri aliyechangamka
Basi ndo ushaelewaNitaelewaje wakati ulichoandika sicho ulichokusudia kuandika ama kusema?