Sifa za watu wa Blood Group O

Sifa za watu wa Blood Group O

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
WATU WA BLOOD GROUP O WALIO WENGI

1732771216533.jpg

Hawa ni watu wenye HASIRA na UBABE sana kwenye maisha yao hawa wwtu WATU WA O

Hawa watu nawaita watu hekaheka (masafa) ukikuta O mchovu basi anatakuwa na changamoto za kiafya au KIMAUMBILE. Hawa wengi wana pumzi za PUMA na wana nguvu za Simba. Wao ni wewe tu, wanapenda la muda mrefu ili mkimaliza mlale kabisa. Wanaume wa O WALIO wengi hupenda kuunganisha masafa

Wanapenda upendo wa nipe nikupe. Wanapenda wakitoa kitu na wao wapate kama hicho au zaidi. Wanawekeza kwa faida si kwa kujitoa tu wanataka mrejesho. Wengi huwa wanafanya mambo kwa matarajio makubwa.

Hawakubali kujishusha wakikosea wanapenda kushindana hata kwenye mambo yanayohitaji neno SAMAHANI. Muda wote wao wanataka wawe sahihi. Wako tayari kubadilisha kosa lake liwe lako hawapendi kukosolewa kabisa wao

HAWAPENDI KUSHINDWA WAKATI MWINGINE HUFANYA MAMBO ILI KUPATA SIFA watu hawa hawapendi kusema sina nafasi au siwezi. Wanatoa offer sana, wanatoa ili kuonekana na wao wametoa kwa nini yeye asitoe. Wanapenda sana kufanya vitu ili wasifiwe au waonekane na wao walishiriki. Wengi maisha yao huwa magumu kwasababu wanashirikishwa mambo ya pesa zaidi kwasababu wanapenda kutoa. Kila kadi ya mchango lazima apewe na atatoa tu😀

Wakiwa na shida hawapendi kuonekana wao ndio wenye shida humtafuta mtu anambebesha hiyo haja yake mfano anataka kukopa anamwambia mkewe kanikopee hataki kuonekana yeye ndiye anahitaji. Anataka kuomba ruhusa kazini kwasababu zake utasema mtoto, mwenza, mzazi wangu anaumwa au nampeleka mahala. Wao hawapendi kuonekana wana changamoto.

WANAUME WENGI wapiga vibom sana wanajua kutengeneza mawazo ya kuombea hela kwa wake zao. Yaani anaweza kukuletea project ukaingia king kumbe akafanye yake.

SIFA washindani sana alifanya kitu utasikia hakuna mtu kama Mimi pale ofisini mwenye nyumba, mke mzuri, nk wanafanya ili wasifiwe

USAFI wanaume wengi wanajipenda nje ila ndani wako rafu sana. Wanavaa nguo za bei ila wanapoishi pachafu wanajipenda nje ila ndani hovyo. Wanapenda kunukia na kula nyama na akiwa mnywaji anakunywa kweli wa pombe

WANAWAKE wengi wa O ni wasafi sana na wanajipenda na wanajikubali sana walivyo

MUONEKANO wao wanawake wengi wa O ni wanene wa ujumla (wamejaa kote) na wengine ni wembamba sana. O wengi hawana muonekano kama wa wanawake wa A au AB ila wapo wachache wenye shape na ukimkuta ana shape huwa washape haswa sio ya kitoto 🙌

KAZI: Kwasababu ya ujasiri na ubabe wao wanapenda kazi zinazohusiana na majeshi na mambo yanayohitaji ubabe na ujasiri mkubwa. Wengi utawakuta huko na ukikutana O utajua

CHANGAMOTO: Wanasumbuliwa na mafua sana kwasababu wanapenda manukato sana, wengi wana miili mkubwa sana kwasababu ya mfumo wao wa ulaji na unywaji pombe mwingi.
 
Mengi uliyoandika ni Chai iliyotiwa viungo mkuu. Mimi ni Group O+ Sifa ni kama zifuatazo
-Kutokusumbuliwa na magonjwa hovyo Mara ya mwisho kulazwa hospitali sikumbuki ilikuwa mwaka gani
-Upambanaji haswa sijui kumtegemea mtu
-Kiburi hapa ndio pahala pake
-Nina Huruma Sana Lakini Once Nikikupotezea Imeisha Hiyo Nakupita Kama Sikuoni Ukimwaga Mboga Namwaga Ugali
-Napenda Sana Watoto Kitaani Nikipita Huwa Ni Full Shangwe etc
 
WATU WA BLOOD GROUP O WALIO WENGI
View attachment 3163789
Hawa ni watu wenye HASIRA na UBABE sana kwenye maisha yao hawa wwtu WATU WA O

Hawa watu nawaita watu hekaheka (masafa) ukikuta O mchovu basi anatakuwa na changamoto za kiafya au KIMAUMBILE. Hawa wengi wana pumzi za PUMA na wana nguvu za Simba. Wao ni wewe tu, wanapenda la muda mrefu ili mkimaliza mlale kabisa. Wanaume wa O WALIO wengi hupenda kuunganisha masafa

Wanapenda upendo wa nipe nikupe. Wanapenda wakitoa kitu na wao wapate kama hicho au zaidi. Wanawekeza kwa faida si kwa kujitoa tu wanataka mrejesho. Wengi huwa wanafanya mambo kwa matarajio makubwa.

Hawakubali kujishusha wakikosea wanapenda kushindana hata kwenye mambo yanayohitaji neno SAMAHANI. Muda wote wao wanataka wawe sahihi. Wako tayari kubadilisha kosa lake liwe lako hawapendi kukosolewa kabisa wao

HAWAPENDI KUSHINDWA WAKATI MWINGINE HUFANYA MAMBO ILI KUPATA SIFA watu hawa hawapendi kusema sina nafasi au siwezi. Wanatoa offer sana, wanatoa ili kuonekana na wao wametoa kwa nini yeye asitoe. Wanapenda sana kufanya vitu ili wasifiwe au waonekane na wao walishiriki. Wengi maisha yao huwa magumu kwasababu wanashirikishwa mambo ya pesa zaidi kwasababu wanapenda kutoa. Kila kadi ya mchango lazima apewe na atatoa tu😀

Wakiwa na shida hawapendi kuonekana wao ndio wenye shida humtafuta mtu anambebesha hiyo haja yake mfano anataka kukopa anamwambia mkewe kanikopee hataki kuonekana yeye ndiye anahitaji. Anataka kuomba ruhusa kazini kwasababu zake utasema mtoto, mwenza, mzazi wangu anaumwa au nampeleka mahala. Wao hawapendi kuonekana wana changamoto.

WANAUME WENGI wapiga vibom sana wanajua kutengeneza mawazo ya kuombea hela kwa wake zao. Yaani anaweza kukuletea project ukaingia king kumbe akafanye yake.

SIFA washindani sana alifanya kitu utasikia hakuna mtu kama Mimi pale ofisini mwenye nyumba, mke mzuri, nk wanafanya ili wasifiwe

USAFI wanaume wengi wanajipenda nje ila ndani wako rafu sana. Wanavaa nguo za bei ila wanapoishi pachafu wanajipenda nje ila ndani hovyo. Wanapenda kunukia na kula nyama na akiwa mnywaji anakunywa kweli wa pombe

WANAWAKE wengi wa O ni wasafi sana na wanajipenda na wanajikubali sana walivyo

MUONEKANO wao wanawake wengi wa O ni wanene wa ujumla (wamejaa kote) na wengine ni wembamba sana. O wengi hawana muonekano kama wa wanawake wa A au AB ila wapo wachache wenye shape na ukimkuta ana shape huwa washape haswa sio ya kitoto 🙌

KAZI: Kwasababu ya ujasiri na ubabe wao wanapenda kazi zinazohusiana na majeshi na mambo yanayohitaji ubabe na ujasiri mkubwa. Wengi utawakuta huko na ukikutana O utajua

CHANGAMOTO: Wanasumbuliwa na mafua sana kwasababu wanapenda manukato sana, wengi wana miili mkubwa sana kwasababu ya mfumo wao wa ulaji na unywaji pombe mwingi.
Rubbish?
I think yes.
 
WATU WA BLOOD GROUP O WALIO WENGI
View attachment 3163789
Hawa ni watu wenye HASIRA na UBABE sana kwenye maisha yao hawa wwtu WATU WA O

Hawa watu nawaita watu hekaheka (masafa) ukikuta O mchovu basi anatakuwa na changamoto za kiafya au KIMAUMBILE. Hawa wengi wana pumzi za PUMA na wana nguvu za Simba. Wao ni wewe tu, wanapenda la muda mrefu ili mkimaliza mlale kabisa. Wanaume wa O WALIO wengi hupenda kuunganisha masafa

Wanapenda upendo wa nipe nikupe. Wanapenda wakitoa kitu na wao wapate kama hicho au zaidi. Wanawekeza kwa faida si kwa kujitoa tu wanataka mrejesho. Wengi huwa wanafanya mambo kwa matarajio makubwa.

Hawakubali kujishusha wakikosea wanapenda kushindana hata kwenye mambo yanayohitaji neno SAMAHANI. Muda wote wao wanataka wawe sahihi. Wako tayari kubadilisha kosa lake liwe lako hawapendi kukosolewa kabisa wao

HAWAPENDI KUSHINDWA WAKATI MWINGINE HUFANYA MAMBO ILI KUPATA SIFA watu hawa hawapendi kusema sina nafasi au siwezi. Wanatoa offer sana, wanatoa ili kuonekana na wao wametoa kwa nini yeye asitoe. Wanapenda sana kufanya vitu ili wasifiwe au waonekane na wao walishiriki. Wengi maisha yao huwa magumu kwasababu wanashirikishwa mambo ya pesa zaidi kwasababu wanapenda kutoa. Kila kadi ya mchango lazima apewe na atatoa tu😀

Wakiwa na shida hawapendi kuonekana wao ndio wenye shida humtafuta mtu anambebesha hiyo haja yake mfano anataka kukopa anamwambia mkewe kanikopee hataki kuonekana yeye ndiye anahitaji. Anataka kuomba ruhusa kazini kwasababu zake utasema mtoto, mwenza, mzazi wangu anaumwa au nampeleka mahala. Wao hawapendi kuonekana wana changamoto.

WANAUME WENGI wapiga vibom sana wanajua kutengeneza mawazo ya kuombea hela kwa wake zao. Yaani anaweza kukuletea project ukaingia king kumbe akafanye yake.

SIFA washindani sana alifanya kitu utasikia hakuna mtu kama Mimi pale ofisini mwenye nyumba, mke mzuri, nk wanafanya ili wasifiwe

USAFI wanaume wengi wanajipenda nje ila ndani wako rafu sana. Wanavaa nguo za bei ila wanapoishi pachafu wanajipenda nje ila ndani hovyo. Wanapenda kunukia na kula nyama na akiwa mnywaji anakunywa kweli wa pombe

WANAWAKE wengi wa O ni wasafi sana na wanajipenda na wanajikubali sana walivyo

MUONEKANO wao wanawake wengi wa O ni wanene wa ujumla (wamejaa kote) na wengine ni wembamba sana. O wengi hawana muonekano kama wa wanawake wa A au AB ila wapo wachache wenye shape na ukimkuta ana shape huwa washape haswa sio ya kitoto 🙌

KAZI: Kwasababu ya ujasiri na ubabe wao wanapenda kazi zinazohusiana na majeshi na mambo yanayohitaji ubabe na ujasiri mkubwa. Wengi utawakuta huko na ukikutana O utajua

CHANGAMOTO: Wanasumbuliwa na mafua sana kwasababu wanapenda manukato sana, wengi wana miili mkubwa sana kwasababu ya mfumo wao wa ulaji na unywaji pombe mwingi.
Rubbish
 
Mi ni 0+ lakini uliyoandika ni uongo mtupu.

Hongera kwa kuandika record ya kuwa mtafiti wa kwanza kupata sifuri kwenye research yako
Watu WA jangwan Leo mnahasira sana jameni kumbafuuu sana 😂😂😂😂😂🏃🏽‍♂️ 🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️
 
Group O mpooooo

Group O mna bima ya afyaa

Group O mnatumia kinga?!!! 😅😅😅😅
Maana vipimo vyote vitasoma -ve.

Group O tuna unyama sanaaaa, mengine siri yetu 😉.
Apo sasa japo Kuna wengine wanabisha aya
 
Back
Top Bottom