tuwe wakweli
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 223
- 59
Heshima kwenu wadau.
Samahani kwa kuwasumbua.Hivi ili ukidhi sifa za kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya stahashada ya msingi zamani iliitwa ngazi ya cheti inatakiwa uwe na ufaulu wa daraja gani na pointi ngapi kwa waliomaliza 2005 hadi 2012.
Asante nawasilisha.
Samahani kwa kuwasumbua.Hivi ili ukidhi sifa za kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya stahashada ya msingi zamani iliitwa ngazi ya cheti inatakiwa uwe na ufaulu wa daraja gani na pointi ngapi kwa waliomaliza 2005 hadi 2012.
Asante nawasilisha.