sifiki kileleni

sifiki kileleni

kipepe-o

Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
12
Reaction score
2
mimi sijawahi kufikishwa kileleni na mwanaume yeyoye tangu nizaliwe.nimeshakua na marafiki wa kiume na sasa nimeolewa ila sijawahi kufikia kilele.nafurahia foreplay na mengine yote ila ikifikia hatua ya kukutana raha yote inayeyuka.hata nikiwa yayari vipi huwa haisaidii.nifanyeje,naumwa au la..kwakweli sina raha maana hiyo ni sekta muhimu sana kwa binadamu na kwenye ndoa.nalazimika kufake kilele kila inapobidi.
 
mimi sijawahi kufikishwa kileleni na mwanaume yeyoye tangu nizaliwe.nimeshakua na marafiki wa kiume na sasa nimeolewa ila sijawahi kufikia kilele.nafurahia foreplay na mengine yote ila ikifikia hatua ya kukutana raha yote inayeyuka.hata nikiwa yayari vipi huwa haisaidii.nifanyeje,naumwa au la..kwakweli sina raha maana hiyo ni sekta muhimu sana kwa binadamu na kwenye ndoa.nalazimika kufake kilele kila inapobidi.

unampenda mwanaume aliekuoa?anakuandaa vizuri?akili yako na mawazo yako huwa unayaweka pale kitandani wakati wa tendo? hebu jibu halafu nitajaribu kukueleza cha kufanya
 
mimi sijawahi kufikishwa kileleni na mwanaume yeyoye tangu nizaliwe.nimeshakua na marafiki wa kiume na sasa nimeolewa ila sijawahi kufikia kilele.nafurahia foreplay na mengine yote ila ikifikia hatua ya kukutana raha yote inayeyuka.hata nikiwa yayari vipi huwa haisaidii.nifanyeje,naumwa au la..kwakweli sina raha maana hiyo ni sekta muhimu sana kwa binadamu na kwenye ndoa.nalazimika kufake kilele kila inapobidi.


nani kakwambia hufiki kileleni? Inawezekana ulishafika ila hupajui.
 
nampenda sana na ananiandaa vizuri na huwa naweka mawazo yangu yote kitandani.
 
mimi sijawahi kufikishwa kileleni na mwanaume yeyoye tangu nizaliwe.nimeshakua na marafiki wa kiume na sasa nimeolewa ila sijawahi kufikia kilele.nafurahia foreplay na mengine yote ila ikifikia hatua ya kukutana raha yote inayeyuka.hata nikiwa yayari vipi huwa haisaidii.nifanyeje,naumwa au la..kwakweli sina raha maana hiyo ni sekta muhimu sana kwa binadamu na kwenye ndoa.nalazimika kufake kilele kila inapobidi.

Usikute umekeketwa?
 
nampenda sana na ananiandaa vizuri na huwa naweka mawazo yangu yote kitandani.

Kama ushawahi kujichua na kufika...kwa nini usitumie moody ileile uliyokuwa nayo wakati wa kujichua na uielekeze kwenye tendo la ndoa na mumeo?
 
mimi sijawahi kufikishwa kileleni na mwanaume yeyoye tangu nizaliwe.nimeshakua na marafiki wa kiume na sasa nimeolewa ila sijawahi kufikia kilele.nafurahia foreplay na mengine yote ila ikifikia hatua ya kukutana raha yote inayeyuka.hata nikiwa yayari vipi huwa haisaidii.nifanyeje,naumwa au la..kwakweli sina raha maana hiyo ni sekta muhimu sana kwa binadamu na kwenye ndoa.nalazimika kufake kilele kila inapobidi.
ni pm...
 
Nafikiri conducts zako ndo tatizo lenyewe. Usipokuwa muwazi huwezi kufika kileleni kama una ugumu wa kufika. Kufake umefika kileleni ni ishara za kutokuwa muwazi na haitakusaidia kamwe. Kuna watu ni wagumu kufika lakini wakiwashirikisha wenzi wao kwanza huwa huru, pili mwenzio atajitahidi kukuundaa kisaikolojia na unaweza kufika hata kwa massage tu kama akikuandaa vizuri kimawazo.
 
nilijichua.

Simple and clear! Kama ulijichua na ukafika, nadhani clitoris ilihusika sana tukiachilia mbali kujiingizia vidole au vifaa vingine kama sex vibrators. Sasa wakat wa kufanya kwa nn mkono au kifaa ulichotumia kujichua kisishirikiane na kinembe/kisimi chako? Au during majamboz chukua mkono wa mumeo upeleke sehemu unayo jua kwamba ikiguswa lazima ufike kileleni, fanya kumuongoza then mambo yatakuwa poa. Ni moja ya njia unazo weza tumia kwa harakaharaka kulingana na maelezo yako. Wengine watakwambia mengi na useful zaidi ya haya niliyo andika. Au PM utapenda kwa msaada zaidi.
 
Simple and clear! Kama ulijichua na ukafika, nadhani clitoris ilihusika sana tukiachilia mbali kujiingizia vidole au vifaa vingine kama sex vibrators. Sasa wakat wa kufanya kwa nn mkono au kifaa ulichotumia kujichua kisishirikiane na kinembe/kisimi chako? Au during majamboz chukua mkono wa mumeo upeleke sehemu unayo jua kwamba ikiguswa lazima ufike kileleni, fanya kumuongoza then mambo yatakuwa poa. Ni moja ya njia unazo weza tumia kwa harakaharaka kulingana na maelezo yako. Wengine watakwambia mengi na useful zaidi ya haya niliyo andika. Au PM utapenda kwa msaada zaidi.
asanteni sana kwa mawazo.PM ni nini?
 
napajua.nimewahi kujaribu kujifikisha.


anhaaaaaaaaa! Kumbe ulishajizoesha kujifikisha ndio maana hakutakuwa na mwanamume wa kukufikisha. Side effect za kujifikisha mwenyewe ndio hizo, nguvu uliyoitumia kujifikisha haiwezi ikalingana na ile ya mwanamume wakati wa tendo labda atumie zana ulizotumia wewe kujifikisha.
 
mimi sijawahi kufikishwa kileleni na mwanaume yeyoye tangu nizaliwe.nimeshakua na marafiki wa kiume na sasa nimeolewa ila sijawahi kufikia kilele.nafurahia foreplay na mengine yote ila ikifikia hatua ya kukutana raha yote inayeyuka.hata nikiwa yayari vipi huwa haisaidii.nifanyeje,naumwa au la..kwakweli sina raha maana hiyo ni sekta muhimu sana kwa binadamu na kwenye ndoa.nalazimika kufake kilele kila inapobidi.

Sikiza vizuri! ... Una too much theory ya kitu amabacho hukijui! Mimi nikikumbia umesha wahi kufikia utaniambiaje? Too much dream ya kilele na too much kuongea vijiweni, too much kujilazimishia, too much kuuliza-experience-za wenzio nk!!

Wacha huo ujinga huo ... Be your self Ok!!?!!

Umeshaolewa .. huyo ndio mumeo kutana nae just sex for the sek of it .. Dont be-judgmental-to your own expirience ... umefikia hujafkia be content to whatever comes out of it... that is you na hakuna mwingine atakuwa kama wewe na wewe hutakuwa kama mwingine ...!!
 
Back
Top Bottom