sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Sensa ni ishara kuwa sisi ni mifugo, na ukiwa na mfugo wako unaufanya chochote unachotaka. Ndio maana tunalazimishwa kupeleka watoto shule wakaandikwe programming (mind programming).
Tunalazimishwa kugongwa chanjo mara tu unapozaliwa.
Lazima ujue idadi ya mifugo yako ili kama inaongezeka na huna pesa za kuitunza ufanye namna ya kuipunguza kwa kuichinja.
Nk nk nk.
Tunalazimishwa kugongwa chanjo mara tu unapozaliwa.
Lazima ujue idadi ya mifugo yako ili kama inaongezeka na huna pesa za kuitunza ufanye namna ya kuipunguza kwa kuichinja.
Nk nk nk.