Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapichapicha yako mkuu ndiyo yameharibu vijana,loo!.[emoji83][emoji83][emoji83]Uvutaji wa sigara na kiko vilikuwa ni fasheni kwa miaka ya hamsini, sitini, na sabini kabla madhara ya tumbaku hayajajulikana. Sehemu kubwa ya vijana wa miaka hiyo walikuwa wanavuta sigara sana tena hadharani tu, hata mbele za watu wengine.
View attachment 1438923
John F Kennedy: Rais wa Marekani Enzi hizo
View attachment 1438929
Nelson Mandela: Rais wa kwanza Mwafrika wa Afrika ya kusini enzi za ujana wake
View attachment 1438932
Winston Churchill: Waziri Mkuu wa Uingereza enzi hizo.
View attachment 1438934
Ronald Reagan: Rais wa Marekan enzi za Ujana wake
View attachment 1438936
Fidel Castro: Rais wa Cuba enzi za ujana wake
View attachment 1438939
Leopold Senghor: Rais wa Senegal enzi za ujana wake
View attachment 1438942
Nafikiri unamjua huyo
View attachment 1438946
Hakuna mtu wa karne hii asiyemjua mtu huyu
View attachment 1438954
Hapo ni General Yitzhak Rabin na General Ariel Shalon wakiwa katika maandaliaiz ya vita ya siku sita iliyofuta majeshi yote ya Misri, Syria na Jordan kwa siku sita tu. Wote Rabin na Sharon baadaye walikuwa mawaziri wakuu wa Israel kwa nyakati tofauti.
Na mtungi alikuwa anapigaKumbe mwalim nae alikua anatumia mmea
tupo hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nawasubiri wale comment za hivi "kama mwalimu alivuta mimi ni nani hadi nisivute"
Had cha ArushaKwa Ile akili ya Nyerere lazima na mtipombe alikuwa anavuta.
kuSIGARA "CLIPPER" ALIYOKUWA AKIVUTA MWALIMU NYEREREPicha hiyo hapo chini imepigwa mwaka wa 1955 Magomeni Mapipa Mtaa wa Jaribu kwenye Tawi la TANU alilofungua Ali Msham nyumbani kwake.
Ali Msham ni huyo upande wa kulia aliyekuwa katika ya vijana wawili wamepiga lubega za kaniki mmoja ana shoka begani.
Hawa walikuwa Bantu Group wahamasishaji umma na walinzi wa viongozi wa TANU.
Waliokaa kulia ni Zuberi Mtemvu, Julius Nyerere na John Rupia.
Ukimwangalia Nyerere utaona ameshika paketi ya sigara na ana sigara mkononi.
Mwalimu katika ujana wake alivuta sigara na sigara yake ilikuwa "Clipper," sigara maarufu enzi hizo. Paketi yake ni hiyo hapo juu.
Mwalimu aliacha kuvuta mwaka wa 1962 baada ya kifo cha rafiki yake kipenzi Hamza Mwapachu kufariki kwa maradhi ya moyo yaliyosababishwa na uvutaji sigara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mzee nae alikua mkushiSIGARA "CLIPPER" ALIYOKUWA AKIVUTA MWALIMU NYEREREPicha hiyo hapo chini imepigwa mwaka wa 1955 Magomeni Mapipa Mtaa wa Jaribu kwenye Tawi la TANU alilofungua Ali Msham nyumbani kwake.
Ali Msham ni huyo upande wa kulia aliyekuwa katika ya vijana wawili wamepiga lubega za kaniki mmoja ana shoka begani.
Hawa walikuwa Bantu Group wahamasishaji umma na walinzi wa viongozi wa TANU.
Waliokaa kulia ni Zuberi Mtemvu, Julius Nyerere na John Rupia.
Ukimwangalia Nyerere utaona ameshika paketi ya sigara na ana sigara mkononi.
Mwalimu katika ujana wake alivuta sigara na sigara yake ilikuwa "Clipper," sigara maarufu enzi hizo. Paketi yake ni hiyo hapo juu.
Mwalimu aliacha kuvuta mwaka wa 1962 baada ya kifo cha rafiki yake kipenzi Hamza Mwapachu kufariki kwa maradhi ya moyo yaliyosababishwa na uvutaji sigara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mpaka walimu wanafundisha hivyo etiLengo ni kuendelea kufahamishana tu kuhusu historia,kwa sababu sishangai kijana wa leo kutwa yupo mitandaoni busy lakini bado anaamini Afrika kusini ilipata uhuru mwaka 1994.
Mimi ni naniNawasubiri wale comment za hivi "kama mwalimu alivuta mimi ni nani hadi nisivute"
Huyo mwenye shoka began dizain alikua bishoo mwenye mbwembwe mnoSIGARA "CLIPPER" ALIYOKUWA AKIVUTA MWALIMU NYEREREPicha hiyo hapo chini imepigwa mwaka wa 1955 Magomeni Mapipa Mtaa wa Jaribu kwenye Tawi la TANU alilofungua Ali Msham nyumbani kwake.
Ali Msham ni huyo upande wa kulia aliyekuwa katika ya vijana wawili wamepiga lubega za kaniki mmoja ana shoka begani.
Hawa walikuwa Bantu Group wahamasishaji umma na walinzi wa viongozi wa TANU.
Waliokaa kulia ni Zuberi Mtemvu, Julius Nyerere na John Rupia.
Ukimwangalia Nyerere utaona ameshika paketi ya sigara na ana sigara mkononi.
Mwalimu katika ujana wake alivuta sigara na sigara yake ilikuwa "Clipper," sigara maarufu enzi hizo. Paketi yake ni hiyo hapo juu.
Mwalimu aliacha kuvuta mwaka wa 1962 baada ya kifo cha rafiki yake kipenzi Hamza Mwapachu kufariki kwa maradhi ya moyo yaliyosababishwa na uvutaji sigara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalim alivuta mpaka bangi inasemekana, mwenye ushahidi aulete tafadhali tuelimike wote
Au mods mnasemaje?