Sigara "Clipper" aliyokuwa akivuta Mwalimu Nyerere miaka ya 1950's

Sigara "Clipper" aliyokuwa akivuta Mwalimu Nyerere miaka ya 1950's

Uvutaji wa sigara na kiko vilikuwa ni fasheni kwa miaka ya hamsini, sitini, na sabini kabla madhara ya tumbaku hayajajulikana. Sehemu kubwa ya vijana wa miaka hiyo walikuwa wanavuta sigara sana tena hadharani tu, hata mbele za watu wengine.

View attachment 1438923
John F Kennedy: Rais wa Marekani Enzi hizo
View attachment 1438929
Nelson Mandela: Rais wa kwanza Mwafrika wa Afrika ya kusini enzi za ujana wake
View attachment 1438932
Winston Churchill: Waziri Mkuu wa Uingereza enzi hizo.

View attachment 1438934
Ronald Reagan: Rais wa Marekan enzi za Ujana wake

View attachment 1438936
Fidel Castro: Rais wa Cuba enzi za ujana wake

View attachment 1438939

Leopold Senghor: Rais wa Senegal enzi za ujana wake


View attachment 1438942
Nafikiri unamjua huyo
View attachment 1438946
Hakuna mtu wa karne hii asiyemjua mtu huyu
View attachment 1438954
Hapo ni General Yitzhak Rabin na General Ariel Shalon wakiwa katika maandaliaiz ya vita ya siku sita iliyofuta majeshi yote ya Misri, Syria na Jordan kwa siku sita tu. Wote Rabin na Sharon baadaye walikuwa mawaziri wakuu wa Israel kwa nyakati tofauti.
Mapichapicha yako mkuu ndiyo yameharibu vijana,loo!.[emoji83][emoji83][emoji83]
 
Kwahiyo hata akila jiwe nacsisi tule??

What's wrong is wrong regardless who does it!!!
 
Kumbe mzee
SIGARA "CLIPPER" ALIYOKUWA AKIVUTA MWALIMU NYERERE
Picha hiyo hapo chini imepigwa mwaka wa 1955 Magomeni Mapipa Mtaa wa Jaribu kwenye Tawi la TANU alilofungua Ali Msham nyumbani kwake.

Ali Msham ni huyo upande wa kulia aliyekuwa katika ya vijana wawili wamepiga lubega za kaniki mmoja ana shoka begani.

Hawa walikuwa Bantu Group wahamasishaji umma na walinzi wa viongozi wa TANU.

Waliokaa kulia ni Zuberi Mtemvu, Julius Nyerere na John Rupia.

Ukimwangalia Nyerere utaona ameshika paketi ya sigara na ana sigara mkononi.

Mwalimu katika ujana wake alivuta sigara na sigara yake ilikuwa "Clipper," sigara maarufu enzi hizo. Paketi yake ni hiyo hapo juu.

Mwalimu aliacha kuvuta mwaka wa 1962 baada ya kifo cha rafiki yake kipenzi Hamza Mwapachu kufariki kwa maradhi ya moyo yaliyosababishwa na uvutaji sigara.


Sent using Jamii Forums mobile app
ku
SIGARA "CLIPPER" ALIYOKUWA AKIVUTA MWALIMU NYERERE
Picha hiyo hapo chini imepigwa mwaka wa 1955 Magomeni Mapipa Mtaa wa Jaribu kwenye Tawi la TANU alilofungua Ali Msham nyumbani kwake.

Ali Msham ni huyo upande wa kulia aliyekuwa katika ya vijana wawili wamepiga lubega za kaniki mmoja ana shoka begani.

Hawa walikuwa Bantu Group wahamasishaji umma na walinzi wa viongozi wa TANU.

Waliokaa kulia ni Zuberi Mtemvu, Julius Nyerere na John Rupia.

Ukimwangalia Nyerere utaona ameshika paketi ya sigara na ana sigara mkononi.

Mwalimu katika ujana wake alivuta sigara na sigara yake ilikuwa "Clipper," sigara maarufu enzi hizo. Paketi yake ni hiyo hapo juu.

Mwalimu aliacha kuvuta mwaka wa 1962 baada ya kifo cha rafiki yake kipenzi Hamza Mwapachu kufariki kwa maradhi ya moyo yaliyosababishwa na uvutaji sigara.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mzee nae alikua mkushi
 
SIGARA "CLIPPER" ALIYOKUWA AKIVUTA MWALIMU NYERERE
Picha hiyo hapo chini imepigwa mwaka wa 1955 Magomeni Mapipa Mtaa wa Jaribu kwenye Tawi la TANU alilofungua Ali Msham nyumbani kwake.

Ali Msham ni huyo upande wa kulia aliyekuwa katika ya vijana wawili wamepiga lubega za kaniki mmoja ana shoka begani.

Hawa walikuwa Bantu Group wahamasishaji umma na walinzi wa viongozi wa TANU.

Waliokaa kulia ni Zuberi Mtemvu, Julius Nyerere na John Rupia.

Ukimwangalia Nyerere utaona ameshika paketi ya sigara na ana sigara mkononi.

Mwalimu katika ujana wake alivuta sigara na sigara yake ilikuwa "Clipper," sigara maarufu enzi hizo. Paketi yake ni hiyo hapo juu.

Mwalimu aliacha kuvuta mwaka wa 1962 baada ya kifo cha rafiki yake kipenzi Hamza Mwapachu kufariki kwa maradhi ya moyo yaliyosababishwa na uvutaji sigara.


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mwenye shoka began dizain alikua bishoo mwenye mbwembwe mno


Alaf hizo ndevu ni blich au mvi???
 
Miaka ya hamsini hadi 70's sigara ilikuwa fashion hasa kwa viongozi wasomi wa walati huo nakumbuka hata Rais wa awamu ya Pili ya Zanzibar sheikh Aboud Jumbe alikuwa anavuta sigara tena hadharani kabisa
 
1688960252278.png
 
Back
Top Bottom