Sigara "Clipper" aliyokuwa akivuta Mwalimu Nyerere miaka ya 1950's

Mapichapicha yako mkuu ndiyo yameharibu vijana,loo!.[emoji83][emoji83][emoji83]
 
Kwahiyo hata akila jiwe nacsisi tule??

What's wrong is wrong regardless who does it!!!
 
Kumbe mzee
ku
Kumbe mzee nae alikua mkushi
 
Huyo mwenye shoka began dizain alikua bishoo mwenye mbwembwe mno


Alaf hizo ndevu ni blich au mvi???
 
Miaka ya hamsini hadi 70's sigara ilikuwa fashion hasa kwa viongozi wasomi wa walati huo nakumbuka hata Rais wa awamu ya Pili ya Zanzibar sheikh Aboud Jumbe alikuwa anavuta sigara tena hadharani kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…