Nicotine ya sigara inapenda wachache basiSigara ndani yake iko na Nicotine sasa Nicotine ni aina fulani ya kilevi ambayo ikimwingia mtu kichwani inamfanya awe na mood fulani nzuri so hata kama mtu yuko kwenye msongo wa mawazo anapata relief kwa mda...
we hujui kuvutaNicotine ya sigara inapenda wachache basi
Aisee wewe unashawishi wenzioKuna muda nilifikiria kuacha sigara, lakini nilivyo fikiria wapi nimetoka nayo, hakika niliona sigara ni rafiki yangu wa kweli. Nikiwa pekee yangu, alikuwa pembeni yangu, nikiwa na hasira ananituliza, nikiwa na furaha anazidisha kutengeneza tabasamu la xxx, maana moshi unanipiga machoni nakuwa kama jicho moja nafumba, basi naenjoy mpaka rahaa. Na mwisho imenipa msaada sana hasa pale napo kuwa mgeni sehemu, nakutana na wavuta sigara hawanibanii kunipa ramani ya sehemu husika jinsi ya kupata pesa. Nimekubali na nitapenda sigara ndio ije iniue kwa sababu ndio kitu nacho kipenda zaidi na kifo chake ni cha kukaa kitandani. Sitoacha sigara mpaka kifo changu, nipo ladhi nimwache mama chanja lakini sio sigara.
ndiyo maana ukupata raha yakeNilijaribu acha nikohoe
swaga iko, na matatizo yapo...matatizo ni mengi kuliko swaga...Moshi wake unanikera sana hakuna swaga hapo ni matatizo tu
Utathibitisha vipi kuwa matatizo ni mengi kuliko swaga wakati hata maana ya neno swaga hujui?swaga iko, na matatizo yapo...matatizo ni mengi kuliko swaga...
hivi swaga maana yeke nini?
umepanic tayari...heheUtathibitisha vipi kuwa matatizo ni mengi kuliko swaga wakati hata maana ya neno swaga hujui?
I'm 100% sure hata maana ya kupanic huijui pia [emoji12]umepanic tayari...hehe
Ukivuta, moshi unatolea puani au mdomoni?.Hii kitu unaongea na mtu jambo la msingi linalochosha mawazo, unashanga eti katoa sigara na kuiwasha, pafu 1, 2, eti mawazo yamepungua,.
Niliwahi kuvuta Mara moja nikaishia kaumwa na Kufua na kupigiwa Kelele na wife kwasababu ya harufu Mbaya.
Wajuzi ebu nambieni
Hii swaga inatulizaje mawazo??!!!!