mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,465
Hii kitu unaongea na mtu jambo la msingi linalochosha mawazo, unashanga eti katoa sigara na kuiwasha, pafu 1, 2, eti mawazo yamepungua.
Niliwahi kuvuta mara moja nikaishia kaumwa na Kufua na kupigiwa Kelele na wife kwasababu ya harufu Mbaya.
Wajuzi hebu nambieni, hii swaga inatulizaje mawazo?!
Niliwahi kuvuta mara moja nikaishia kaumwa na Kufua na kupigiwa Kelele na wife kwasababu ya harufu Mbaya.
Wajuzi hebu nambieni, hii swaga inatulizaje mawazo?!