Sigara Vs Bangi: Kwanini bangi haramu na sigara si haramu?

Sigara Vs Bangi: Kwanini bangi haramu na sigara si haramu?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwa nini serikali zote duniani zinaendesha vita dhidi ya matumizi ya bangi mpaka leo lakini zikiiacha sigara kuwa biashara halali wakati tafiti za kutosha zinaonyesha sigara ni chanzo cha matatizo mengi sana makubwa ya kiafya kwa binadamu tofauti na bangi?

Tafiti zimeonyesha sigara ni kichochezi kikubwa cha kansa nyingi, matatizo ya mapafu, kisukari, TB na mambo mengine mabaya mengi.

Kwa upande wa bangi hakuna tafiti za kutosha kuonyesha kwa ufasaha hasa madhara yake kwa binadamu ila pamoja na hayo imekuwa ikipigwa vita kali sana na serikali zote duniani huku sigara ikanadiwa na kuwekewa hadi taadhari kuwa ni mbaya kwa afya!
 
Kwa nini serikali zote duniani zinaendesha vita dhidi ya matumizi ya bangi mpaka leo lakini zikiiacha sigara kuwa biashara halali wakati tafiti za kutosha zinaonyesha sigara ni chanzo cha matatizo mengi sana makubwa ya kiafya kwa binadamu tofauti na bangi?

Tafiti zimeonyesha sigara ni kichochezi kikubwa cha kansa nyingi, matatizo ya mapafu, kisukari, TB na mambo mengine mabaya mengi.

Kwa upande wa bangi hakuna tafiti za kutosha kuonyesha kwa ufasaha hasa madhara yake kwa binadamu ila pamoja na hayo imekuwa ikipigwa vita kali sana na serikali zote duniani huku sigara ikanadiwa na kuwekewa hadi taadhari kuwa ni mbaya kwa afya!
Sasa kama ulikiuwa hujui, matatizo ya sigara zidisha mara 25 ndio utapata matatizo ya bangi.
 
Sehemu kubwa ya pombe hazina madhara zikitumiwa kwa kiasi kidogo. Sigara hata uvute moja kwa siku bado madhara yake yanabaki pale pale
Sigara ilihalalishwa

Swali lako ni sawa pia ukasema kwanini pombe kali mfano whisky,konyagi,kvant etc zinaruhusiwa wkt gongo hairuhusiwi
Wakati pombe zote hizo zina madhara

Ova
 
Sehemu kubwa ya pombe hazina madhara zikitumiwa kwa kiasi kidogo. Sigara hata uvute moja kwa siku bado madhara yake yanabaki pale pale
Sigara inatokana na zao la tumbaku
Cocain inatokana na zao la coca
Heroin inatokana na zao la opium
zote hapo zina madhara ukitumia lkn
Kuna moja hapo imehalalishwa ambayo ni sigara
Na watumiaji mamilion ya watu duniani wameathirika,wamepata kaansa etc
Lakini ilihalalishwa,ikaaminishwa inauzwa hadharani

Kuna exclusive nakupa labda utanielewa,ilipofumuka kilimo,biashara,matumizi ya madawa ya kulevya
Watu wa nchi fulani waligundua methadn, hyo methadn target yao mwanzo ilikuwa iipiku na iue madawa kama cocain,heroin lkn ikafeli
Ndy inatumika kivingine,nafikiri unanielewa
Na imehalalishwa

Hii dunia ni uwanja wa vita mzee

Ova
 
Nimewahi kukutana na wahanga wawili wa bhangi ambao ni ndugu zangu kabisa:

Mmoja siku ya kwanza aliyovuta alipika uji kwenye sufulia la kupikia wali kilo nne.Jamaa alikunywa uji Hadi akatokwa na jasho km Kuli wa bandarini,cha ajabu alipoona uji umemshinda na kwenye sufuria umebaki mwingi akauongezea unga akapika ugali ale na mboga iliyobakia Jana usiku..huyu jamaa bhangi ilipotoka kichwani hakuendelea kutumia..Hadi Leo havuti

Huyu mwingine wa pili siku ya kwanza kuvuta nakumbuka nimeenda kumtembelea ndugu yangu tandika azimio. Yeye alivuta mida km ya saa moja usiku.Mamaake mida huo huwa anaweka maharage ya kupima jero jero nje kwenye jiko la mkaa huku yakipata Moto taratiiibu .alipovuta wakati anakuja hapo home alikuwa anakanyaga ardhi km kuna shimo kubwa[emoji16]..alipofika pale alipiga Teke kubwa kwenye sufuria la maharage akayamwaga kisha akaingia ndani,lkn alikuwa analalamika mlango mdogo hawezi kupita vizuri .akawa analia.Huyu naye aliacha maana bhangi ilikuwa km inamletea ukichaa

Kisa cha tatu cha nyongeza ni mwalimu wangu wa mathematics wakati nipo shule.siku ya mitihani akipewa kazi ya kusimamia darasa Fulani,Hilo darasa zitapigwa 'A' nyingi sn hata na vilaza wa darasa maana Hana muda wa kukamata wanafunzi wanaotumia vibomu au kuangalizia Kwa wenzao akiwa anasimamia,wewe ingia Tu hata na daftari uangalizie majibu yeye yupo pale mbele na Hana time na nyie,zaidi sn akikuona Una kibom anakuangalia alafu anacheeka kisha anakupa dole[emoji106]

Kwa visa hivi nilivyovishuhudia Kwa macho yangu wala siilaumu serikali ikikataza kuvuta mjani
 
Umewahi kukutana na wahanga wa saratani zilizochochewa na sigara?
Nimewahi kukutana na wahanga wawili wa bhangi ambao ni ndugu zangu kabisa:

Mmoja siku ya kwanza aliyovuta alipika uji kwenye sufulia la kupikia wali kilo nne.Jamaa alikunywa uji Hadi akatokwa na jasho km Kuli wa

Kwa visa hivi nilivyovishuhudia Kwa macho yangu wala siilaumu serikali ikikataza kuvuta mjani
 
Kwa nini serikali zote duniani zinaendesha vita dhidi ya matumizi ya bangi mpaka leo lakini zikiiacha sigara kuwa biashara halali wakati tafiti za kutosha zinaonyesha sigara ni chanzo cha matatizo mengi sana makubwa ya kiafya kwa binadamu tofauti na bangi?

Tafiti zimeonyesha sigara ni kichochezi kikubwa cha kansa nyingi, matatizo ya mapafu, kisukari, TB na mambo mengine mabaya mengi.

Kwa upande wa bangi hakuna tafiti za kutosha kuonyesha kwa ufasaha hasa madhara yake kwa binadamu ila pamoja na hayo imekuwa ikipigwa vita kali sana na serikali zote duniani huku sigara ikanadiwa na kuwekewa hadi taadhari kuwa ni mbaya kwa afya!
Wanalinda Viwanda na ajira za watu
 
In Gwajima's voice baada ya kuulizwa "unawazungumziaje wanaoponda video yako kwenye mitandao?"
Tatizo la bangi ni moja tu.. linashtua homones za ukichaa Kama unao.
Ukiona mtu Kavuta bangi akawa kichaa ujue alikuwa kichaa tangu mwanzo ilikuwa suala la muda tu.
So Kama ukoo wenu una historia ya vichaaa ni bora usijaribu
 
Sigara inashtua vichochezi vya kansa. Asilimia 80 ya visa vya kansa ya mapafu vinahusiana na sigara.
Tatizo la bangi ni moja tu.. linashtua homones za ukichaa Kama unao.
Ukiona mtu Kavuta bangi akawa kichaa ujue alikuwa kichaa tangu mwanzo ilikuwa suala la muda tu.
So Kama ukoo wenu una historia ya vichaaa ni bora usijaribu
 
Ukipewa takwimu ya visa vitokanavyo na pombe utaona hivi vya bangi ni tone katika bahari.
Nimewahi kukutana na wahanga wawili wa bhangi ambao ni ndugu zangu kabisa:

Mmoja siku ya kwanza aliyovuta alipika uji kwenye sufulia la kupikia wali kilo nne.Jamaa alikunywa uji Hadi akatokwa na jasho km Kuli wa bandarini,cha ajabu alipoona uji umemshinda na kwenye sufuria umebaki mwingi akauongezea unga akapika ugali ale na mboga iliyobakia Jana usiku..huyu jamaa bhangi ilipotoka kichwani hakuendelea kutumia..Hadi Leo havuti

Huyu mwingine wa pili siku ya kwanza kuvuta nakumbuka nimeenda kumtembelea ndugu yangu tandika azimio. Yeye alivuta mida km ya saa moja usiku.Mamaake mida huo huwa anaweka maharage ya kupima jero jero nje kwenye jiko la mkaa huku yakipata Moto taratiiibu .alipovuta wakati anakuja hapo home alikuwa anakanyaga ardhi km kuna shimo kubwa[emoji16]..alipofika pale alipiga Teke kubwa kwenye sufuria la maharage akayamwaga kisha akaingia ndani,lkn alikuwa analalamika mlango mdogo hawezi kupita vizuri .akawa analia.Huyu naye aliacha maana bhangi ilikuwa km inamletea ukichaa

Kisa cha tatu cha nyongeza ni mwalimu wangu wa mathematics wakati nipo shule.siku ya mitihani akipewa kazi ya kusimamia darasa Fulani,Hilo darasa zitapigwa 'A' nyingi sn hata na vilaza wa darasa maana Hana muda wa kukamata wanafunzi wanaotumia vibomu au kuangalizia Kwa wenzao akiwa anasimamia,wewe ingia Tu hata na daftari uangalizie majibu yeye yupo pale mbele na Hana time na nyie,zaidi sn akikuona Una kibom anakuangalia alafu anacheeka kisha anakupa dole[emoji106]

Kwa visa hivi nilivyovishuhudia Kwa macho yangu wala siilaumu serikali ikikataza kuvuta mjani
 
Back
Top Bottom