Ninaniniyule
Senior Member
- Mar 20, 2018
- 101
- 145
Umebadili GIA angani. Mwanzo uliamini inawezekana leo umekuwa pang'ang'a.Mlivyokosa akili,nchi gani iyo inachukuliwa kwa wiki 3.au UKRAINE imekuwa wilaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umebadili GIA angani. Mwanzo uliamini inawezekana leo umekuwa pang'ang'a.Mlivyokosa akili,nchi gani iyo inachukuliwa kwa wiki 3.au UKRAINE imekuwa wilaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
toka mme anza kusema Russia ana songa mbele anasonga kuelekea wapi??Cha kushangaza URUSI ndiye anayepigwa ila anazidi kusonga mbele kuchukua maeneo.sasa ivi vita vya kharkiv vimerudi tena
Sasa si atakuwa keshaichukua Ukraine nzima!, Make kila siku mnatuambia hapa urusi anazidi kusonga mbele kuchukua maeneo, na nakumbuka kipindi Cha nyuma mlitualeza ana msafara mrefu wa vifaru unaelekea Kyiv lakin ajabu hamtupi update kama ushafika au umekaribia kufikia au bado sana kufika.Cha kushangaza URUSI ndiye anayepigwa ila anazidi kusonga mbele kuchukua maeneo.sasa ivi vita vya kharkiv vimerudi tena
Tuulizane kwanza ule msafara wa vifaru uliishia wapi?Hivi zile Drones za Uturuki ziliishia wapi,tuwe wawazi hii vita itamkomaza sana mrusi,atakuwa chuma kweli kweli maana anapata nafasi ya kugundua mapungufu ya siraha zake na za aduia zake
Ukiangalia hiyo Raman kwa ukubwa wa Russia ni kama mara 20 ya Ukraine. Ni wanaumme kwa jinsi walivypombana Hadi Sasa. Kwa ukubwa wa jeshi na zana zake. Comedia ni mwanaume sana. Hivi tuseme tu ukweli hivi jirani yako akiwa tajiri akavamia kwako utaacha afanye anavyotaka hata kukunyanganya mke wako kwa kua ana nguvu unamwangalia tu. Hii ngumu sana aiseeSasa si atakuwa keshaichukua Ukraine nzima!, Make kila siku mnatuambia hapa urusi anazidi kusonga mbele kuchukua maeneo, na nakumbuka kipindi Cha nyuma mlitualeza ana msafara mrefu wa vifaru unaelekea Kyiv lakin ajabu hamtupi update kama ushafika au umekaribia kufikia au bado sana kufika.View attachment 2326040
Maafa gani wakati analinda kuhami na kutetea usalama wataifa lakeHomicidal dictator ameleta maafa makubwa.