Signature za hawa wanaJF zina ujumbe mzito sana

Asante mkuu NAHUJA ngoja nikupe kisa kdgo kilichonifanya nije na hio signature.. miaka kadhaa iliyopita kipindi nipo chuo kuna binti alikuwa akimzengua sana best yangu kila alipoombwa utam in peacefully way alikuwa akigoma, yani hata akija getho mshkaji hakufanikiwa kupewa utam. Ikafika kipindi Jamaa akagive up kabisa akaamua awe mpenzi mtazamaji. Siku moja wanatoka discussion mida ya saa nne usiku Jamaa akamchombeza demu kimasihala tu kwenye kichaka hali ya hewa inaruhusu, wapo wawili, na kagiza kale basi mshkaji akatunukiwa unexpectedly pale pale.. mpaka leo best yangu lile tukio lipo akilin mwake na akiwa na fumbo kubwa kuhusu wanawake.
 
duu! aisee!
 
Ha ha ha ha haaaaaaaa
Mkuu inaonekana ulikuwa na ka utafiti ka chini kwa chini juu ya signature za wana JFπŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…