Signature za hawa wanaJF zina ujumbe mzito sana

Now or never....kuna moja pia ni nzuri sana niliikopi kwa neba my brother inasema WAKATI SI MILELE
 
[emoji15][emoji848][emoji1562][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tafakari na Ongezea hii
  • "I may not agree with what you say, but I will defend to the death your right to say it! " (By Maxence Melo )
Tafadhari ongezea na hii..
  • "Binaadamu wa kweli ni yule anayesikia maumivu ya Wenzake"
    -Da'Vinci..

Inatuasa watu kua na upendo na kujaliana hasa wenzetu wanapokua na matatatizo,shida.
 
Hahaaa. Natumai muda ushasogea sasa huko uliko unapambana na milio ya ndege mwitu.
ha ha h ah haaaaaaaaaaa
naifurahia sana milio hii especialy jioni nkishatoka kwenye jiji la watu, karibu sana Mkuu nawe ufurahie kusikia milio hii, naimani hutotamani kuondoka huku kijijini kwetu.
 

We Love you too
 
Tafadhari ongezea na hii..
  • "Binaadamu wa kweli ni yule anayesikia maumivu ya Wenzake"
    -Da'Vinci..

Inatuasa watu kua na upendo na kujaliana hasa wenzetu wanapokua na matatatizo,shida.
Utafika mbinguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…