- Thread starter
- #21
Kweli kabisayap zipo tena humu full comfidence hata unaweza kumtaja huyo mtu kwenye signature, hizi signature kama status za kule what sap, mtu uko bored au uko broken utatupia kule ili X wako aione
au umependa gal flani ambaye katupia mawani meusi... utatupia kumsifia au kuomba date