hahaahaähaaaa! Yaani raha kweli katika watu walionifurahisha leo kwakweli wewe aah u make my day!
Kumbe hupendi kuoa lakini hutaki kuandika nasiku ukisema tujue ndio unataka kuoa haahaahaaaah nimejikuta naangua bonge la kicheko mpaka nimeamsha majirani kweli jf ? Itatufanya
machizi.
Itabidi nikuote maana tumekutana asiyependa kuoa na asiyependa kuolewa dahai
Tu quoqueWasiohitaji kuolewa hawajishughulishi kuandika hilo hapa, angalia usije kuwa na "sizitaki mbichi hizi" syndrome, unachukia ndoa kwa sababu hujaolewa.
The fact kwamba unakuja hapa kutueleza habari ya kutohitaji kuolewa inatueleza kwamba unahitaji kuolewa.
Mimi sihitaji kuoa, lakini huwezi kunikuta naanzisha thread hapa kusema sihitaji kuoa. Siku nitakayoanzisha thread hiyo ndiyo siku nitakayothibitisha kwamba nahitaji kuoa.
Tu quoque
ilo ni tatizo dada angu,tena kubwa 2,sema nnachokushauri fikiri kwa makini na endapo atajitokeza m2 mwenye nia na ww bac take him
kwahiyo kama sina ndoa na kizazi pia sina? Kuzaa dumuhimu
haya bwana! Hayo ni mawazo yako, na ushauri wako, akili za us"hauri changanya na zakwako.kama kweli unamuamini Mungu kama unavyodai, nadhani si kweli, ungekuwa umejifunga na sheria zake, nadhani unajua anasema nini kuhusu uzinzi,
kuna mtu hapo mwanzo kakuambia kuhusu mungu na MUNGU. Tafakati upya.
Huo ni uselfishness au ni huzuni ya kukosa unachotamani, bila kutakutafakari mchango wako katika kuharibu. . Hapa nadhan una kazi nzuri, na heshima na kujitoa kwa kazi ya Mungu, kwa unyenyekevu itakuwa ngumu
Lengo la Ndoa si starehe, ni kutimiza kazi ya Mungu, na starehe yake inatokana na utii wako kwa Mungu, otherwise ni mapito tu. Na adhabu ya roho yako.
kuolewa sio fasheni kuolewa ni moyo wa mtu, kama mnachukulia ndoa ni fasheni kimpango wak0
kama shida ni mwanaume ndani ya nyumba nitamuweka mlinzi mwanaume,ndoa sio fasheni, tatizo mmeiweka kama ndo sehemu ya kuchumia au kuonekana kwamba na we upo. By ze way unasema hutaki kuolewa kwa nn uanze kuiba waume na kuyumbisha ndoa za wenzio? Unafahamu shida za single parenting? Kuna wakati utakuja juta kuwa kuna umuhimu wa kuwa na baba watoto ndani ya nyumba. Nyie ndo kila siku mnapiga kelele wanaume wasiwe na wake wengi!!..
nimetimiza miaka 30 sasa, huko nyuma nilitamani sana kuolewa nanilikuwa namlilia mungu sana anijalie nipate mume bora hiyo ndio ilikua
dua yangu kubwa kwa mungu, imekua bahati mbaya sijaolewa wala kuchumbiwa na mwanaume yeyote nimeishia kurubuniwa na kutapekliwa, nilitamani sana niwe na mume wangjt nimthani na kumjali ila baha ti ni mbaya sijabahatika.
Any way 4 sasa nimekua mtu mzima nimepata akili nimepitia mengi na nimejifunza mengi nanimetafakas4ri kwa kina n.ifmegundua sio kila unalolipanga kwenye maisha yako lazima ulipate hata ukimwomba mungu mengine inabidi usacrifise, japo utavumilia masengenyo kutoka kwenye jamii na mitazamo hasi kwa ndugu hata wazazi.
Leo hii nimekua mtu mzima sitamani kuolewa tena wala sivutiwi na ndoa yoyote hata mwanaume wa kuishi em3.
Napenda kuwa na watoto wawili nakupambana na däisha bila kujali baba yao atakua nani..
Nayafurahia maisha yangu na maamuzi yangu kuliko zamani nilivyokua nahitaji kuolewa najiona nimeshakua
mama nanina familia isiyokua na baba ninafuraha sana naninamshukuru mungu kila kukicha.
Sipendi kuolewa na sivutiwi na kuolewa wala ndoa sihitag!
kama shida ni mwanaume ndani ya nyumba nitamuweka mlinzi mwanaume,
halafu wanaume za watu ndio wapi hao?
Na wanaibiwaje?
kama kweli unamuamini Mungu kama unavyodai, nadhani si kweli, ungekuwa umejifunga na sheria zake, nadhani unajua anasema nini kuhusu uzinzi,
kuna mtu hapo mwanzo kakuambia kuhusu mungu na MUNGU. Tafakati upya.
Huo ni uselfishness au ni huzuni ya kukosa unachotamani, bila kutakutafakari mchango wako katika kuharibu. . Hapa nadhan una kazi nzuri, na heshima na kujitoa kwa kazi ya Mungu, kwa unyenyekevu itakuwa ngumu
Lengo la Ndoa si starehe, ni kutimiza kazi ya Mungu, na starehe yake inatokana na utii wako kwa Mungu, otherwise ni mapito tu. Na adhabu ya roho yako.
Dont force it.if u want to remain single for da rest of ur life.JUST BE URSELF,SINGLE LADY.
miafrika ndivyo tulivyo,umekosa jina lingie hadi ukaona uumie jina la huyu dada bora ungetumia la wadada wa nch za kimangaribi.sifa za kijinga na kuaribiana
Tuliza moto wewe kwani Jokate yuko peke yake na una uhakika gani kuwa siyo yule unayemjua wewe.miafrika ndivyo tulivyo,umekosa jina lingie hadi ukaona uumie jina la huyu dada bora ungetumia la wadada wa nch za kimangaribi.sifa za kijinga na kuaribiana
straight to the mada,tusitoke,,,,huyu dada alotoa mada hapa anaitaj mawazo yetulabda ni jina lake!