Huyu ni PSYCHO per se! Ukifuatilia thread nzima, huyu ni mwehu tena naogopa asijetamani mbegu zangu mie, maana kakijana kangu ka-handsome kama point fulani kamerithi kwa bibi yake lisijetamani mbegu zangu bure. Tena ulaaniwe, upate kiumbe usichokitararji mtoka pabaya mkubwa mwizi wa waume za watu. Unadhani wanaume wakukujaza huo mtumbo wako wanatoka wapi? Wewe ni psycho, very dangerous! Na kama unafanya hospital as you said utakuwa umetoroka ward ya wehu wenzio! Kwa attitude hiyo hata uzao wako hautakuwa na baraka, unatujazia dunia kwa vitoto haramu kisa eti wewe umependa! Its better baba akatae ujauzito lakini sio style yako, yani umejifungia bahati zote. Unaonekana una majini yako ndo yanakufanya hivyo, jini mahaba tena litakukomoa! Natamani ningekufahamu nione na hicho kitoto chako nimpe precautions mwanangu asije kujiingiza kwenye hiyo laana! Wacha kama napigwa ban nipigwe tu ila wewe ni psycho!