GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Winga ya Kulia Morrison, Winga ya Kushoto Kisinda, Mbele anasimama Mayele halafu nyuma yake kidogo yuko Aziz K huku wote hawa wakiwa Wanatibiwa vyema na Daktari bora kwa sasa ndani ya NBC Premier League Aucho.
Natangaza mapema hapa hapa JamiiForums kuwa nikiwa kama mwana Simba SC Tukuka kwa huu Muunganiko sasa yameshanianza Kugonga na Kurudi Tumboni huku nikiona kabisa kuwa pona pona yetu Simba SC hiyo tarehe 23 Oktoba, 2022 kwa Mkapa ni kuombea tu 85% hawa tajwa hapa wawe Injury au Warogwe vya kutosha na yule Bibi yetu wa Kizanzibari ( Pemba ) mwenye Titi Moja ili wasiwe na Madhara ila ikitokea Njemba zote hizi zikawa 100% Fit nisiwe Mnafiki zile 5 bila au 6 bila tulizowahi Kuwapiga ( Kuwafunga ) zitarudi na hata Kuzidiwa ( nikimaanisha Rekodi ) Kuvunjwa.
Yanga SC wamesajili Kiufundi sana!!!!
Cc: Rais2045
Natangaza mapema hapa hapa JamiiForums kuwa nikiwa kama mwana Simba SC Tukuka kwa huu Muunganiko sasa yameshanianza Kugonga na Kurudi Tumboni huku nikiona kabisa kuwa pona pona yetu Simba SC hiyo tarehe 23 Oktoba, 2022 kwa Mkapa ni kuombea tu 85% hawa tajwa hapa wawe Injury au Warogwe vya kutosha na yule Bibi yetu wa Kizanzibari ( Pemba ) mwenye Titi Moja ili wasiwe na Madhara ila ikitokea Njemba zote hizi zikawa 100% Fit nisiwe Mnafiki zile 5 bila au 6 bila tulizowahi Kuwapiga ( Kuwafunga ) zitarudi na hata Kuzidiwa ( nikimaanisha Rekodi ) Kuvunjwa.
Yanga SC wamesajili Kiufundi sana!!!!
Cc: Rais2045