wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,930
- 3,305
...kaka ni kwel usemalo, hata mm wakat naaply chuo niliambiwa ucpoweka ualim first selection hupat mkopo, dah kwa shingo upande nikajaza ualim as first selection, wildlife as 2nd selection na 3rd selection ikawa animal science....nikachaguliwa ya 3 kwa bahat nzuri! Ila tabia ya kuchekana chuon ikawa ipo hata cjui kwa nn, utasikia watu wa tourism eti nyie mtaongea na wanyama cc tunakula kiyoyoz na watalii....let me tell u one thing maisha na koz za vyuon ni vitu viwili tofauti, nina mwaka na mwez kazin bt namshukuru mungu nimemaliza kajumba na kumudu kutembelea ------ just with in a year, so kufanikiwa asilimia 80 kunategemea self strugle, 5% kituo cha kaz, 6% koz ulosoma, 9%godfather.