Siipi Simba nafasi ya kuitoa Red Arrows

Siipi Simba nafasi ya kuitoa Red Arrows

Yanga acheni kukatisha tamaa watu, Simba bado ni imara kabisa, haiwezekani eti wameondoka wachezaji wawili tu, uje hapa hizo generalization za utopolo!

Hivi Mbona kuna timu huwa zinachezea mechi zote viwanja vya ugenini na kuvuka? Mpira ni dakika 90 , njoo umshangilie mnyama anavotafuna Mzambia!
 
Kumbe mkiazia nyumbani mnakua hamna Safari eeeh????.
Kikosi kizuri mbona, tuwape nguvu hawa ndo wachezaji tulonao! Hivyo naiman watatupa furaha

Habari wakuu

Kwa tathmini yangu fupi sioni nafasi ya Simba Kuwatoa hawa Wazambia hasa ukizingatia tumeanzia nyumbani.

Simba inabidi dirisha dogo ishughulikie kuboresha eneo la namba 6,10 na 9 hapo kuanzia msimu ujao wanaweza tena kucompete.
 
Kitendo Cha Simba kutolewa na timu kutokea Botswana katika mpira wa kileo huitaji utabiri Wala kugombana na watu maana kilakitu Kiko wazi. Botswana, Commoro,Shelisheli, Djibouti, South Sudan. Ayo nimaeneo yenye vilabu dhaifu Afrika.
 
Huwezi kutabiri hivo wakati Simba ina kocha mpya huwezi kujua mbinu zake kwa sasa
 
Mbwa Mzee hafundishwi kuwinda, ata kocha awe zidane, uwezo umeshafika kikomo.
 
Muwahini Aucho akawaokoe maana mpaka msubiri yanga atafute wachezaji kisha mpanue madomo kuwataka.
Au kanoute, banda, sakho, kibu wanawatosha?
Mitopolo kelele za Aucho ka za vyura wa kijani.. hafikii hata nusu ya kiwango cha Ajibu.
 
Habari wakuu,

Kwa tathmini yangu fupi sioni nafasi ya Simba Kuwatoa hawa Wazambia hasa ukizingatia tumeanzia nyumbani.

Simba inabidi dirisha dogo ishughulikie kuboresha eneo la namba 6,10 na 9 hapo kuanzia msimu ujao wanaweza tena kucompete.
Tusubiri mechi zote mbili ziishe, tutarudi tena hapa.
 
IMG-20211128-WA0093.jpg
IMG-20211128-WA0093.jpg

sorry imejipost bahati nzuri
 
Habari wakuu,

Kwa tathmini yangu fupi sioni nafasi ya Simba Kuwatoa hawa Wazambia hasa ukizingatia tumeanzia nyumbani.

Simba inabidi dirisha dogo ishughulikie kuboresha eneo la namba 6,10 na 9 hapo kuanzia msimu ujao wanaweza tena kucompete.
Eeeh unasemaje mzee sasa njoo utueleze

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Chimba lazima akalie Liboro Fc ile ya Angola kama sikosei.hana kikosi chochote maana.wakati wenzie wana sajili yeye akaona achukue vitoto vya shule sijui ana mpango wa kufungia kindagateni
Mbona maneno Ni yale yale KILA siku
wewe una wazee una kipi cha kujivunia. Labda kutolewa mapema klabu bingwa.

Akili za mashabiki wa Yanga, duuuh!
 
No 6= lwanga, mnaemuita mkata umeme.
Imekuaje tena, hafai au hakati kama tanesco?

No 10, Bwalya, mnarmuita magician mtu wa miujiza, vip tena hachezi vzr au hana miujiza yyte?
No 9, Kagere mnaemuita the ball striker. Imekuaje tena, hafungi vzr?

Basi tutawapa Aucho bure, maana mtasingizia kua mlimkosa Aucho ndo maana mkatolewa na makhirikhiri na wapiga mishale myekundu.
Hizi ndiyo akili za utopolo. Kuna kipie utaandika Cha maana.

Subir tukubebe tena mwakani uende ukakimbie kimbie huko mechi 2 urejee.
 
Back
Top Bottom